The Atheists Paradox

The Atheists Paradox

Neno alitwaa mwili... Muislam na reasoning wapi na wapi ?
Aliyezaliwa anakuwa hai zaidi ya miaka 2000 ? Huwezi tafakari japo kiduchuuu !
Unakusudia kusema kuwa Mungu ana miaka 2000?

Neno aliitwa mwili na mwili aliitwa nani?
Are you that desperate?


Lete hadithi ya Bikira Maria alipotembelewa na Malaika kumpelekea ujumbe. Aliambiwa nini?
Malaika alisema ametumwa na nani?

Usiongeze chumvi lakini, haya Leta hadithi mchungaji.
 
Acha uongo kijana na bakia kwenye mada:
1. Adam hakuzaliwa bali umbwa.
2. Allah anadai kuwa Yesu na yeye aliumbwa kama Adam.
3. Kama hayo madai ni kweli. Maryam ni nani kwa Yesu?
Nini maana ya kuumba?
 
Nini maana ya kuumba?

KUTOKANA NA KORAN: YESU ANAUMBA, ANAPONYA, ANAFUFUA WATU, LAKINI MUHAMMAD HAKUWA NA UWEZO HUO

Koran leo imekiri kuwa Yesu ni zaidi ya Mtume. Ukisoma hii aya hapa chini utaona kuwa Yesu aliumba, hii sifa ya kuumba ni ya Mungu Pekee. Yesu alifufua watu, Yesu Aliponya watu. n.k. Lakini hatusomi kuwa Muhammad alifanya hayo. Hebu soma Koran.


Quran 5: 110. Na pale Mwenyezi Mungu atapo sema: Ewe Isa bin Maryamu! Kumbuka neema yangu juu yako, na juu ya mama yako, nilipo kutia nguvu kwa Roho Takatifu, ukazungumza na watu katika utoto na utuuzimani. Na nilivyo kufunza kuandika na hikima na Taurati na Injili. Na ulipo tengeneza udongo sura ya ndege, kwa idhini yangu, kisha ukapuliza ikawa ndege kwa idhini yangu; na ulipo waponesha vipofu na wakoma kwa idhini yangu; na ulipo wafufua wafu kwa idhini yangu; na nilipo kukinga na Wana wa Israili ulipo wajia na hoja zilizo wazi, na wakasema walio kufuru miongoni mwao: Haya si lolote ila ni uchawi mtupu!


Ndugu zanguni, leo tumejifunza kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida. Alikuwa anafanya mambo ambayo ni Mungu pekee mwenye uwezo wa kufanya hao. Ushaidi huu umewekwa kwenye Koran. Madai ya kuwa Yesu alikuwa Mtume/Nabii kama wengine, yanashindwa nguvu, baada ya kusoma hii aya ambayo imetuonyesha adhama ya Mungu ndani ya Yesu. Je, kuna Nabii au Mtume yeyote Yule aliye wai kuumba?


Hebu tusome hadith ifuatayo kutoka kwa Al Bukhar.


Ibn 'Abbas akasema, "Hiyo ilionyesha kifo cha Mtume wa Allah ambacho Allah alimtaarifu." 'Umar alisema, "Sielewi haya isipokuwa kile wewe unakielewa." 'Aisha: Mtume katika maradhi yake ambayo yalimuua, Alikuwa akisema, "O' Aisha bado nahisi maumivu yanayosababishwa na chakula nilicho kula nilipo kuwa Khaibar, na kwa wakati huu, Najisikia kama aorta yangu inakatwa kutoka sumu niliyo kula. "(Sahih al-Bukhari, Volume 5, Kitabu 59, Namba 713)


Kwenye Hadith tuliyo soma tunaona kuwa Mtume wa Allah alikuwa anasumbuliwa na Sumu aliyo lishwa kwa Mtego na Yule Mama wa Kiyahudi. Hadithi hii inatupa ushaidi kuwa Mtume wa Allah alikuwa akiomba uponyaji kutoka kwa Allah. Swali la kujiuliza, Je, Muhammad alipo baada ya maombi haya kwa Allah?


Endelea kupata somo:


Kwenye hadith ifuatayo hapa chini, tunasoma kuwa Jibril nayeye amekuja kumuombea uzima Mtume wa Allah, lakini maombi hayo hayakumponya Mtume wa Allah.


Kutoka kwa Ibn Sad ukurasa 265
Mtume wa Mwenyezi Mungu aliugua na yeye yaani Gabriel, alimuombea juu yake, akasema, "Kwa jina la Mwenyezi Mungu mimi nakuombea uzima na nazuia kutoka kwenu kila kitu kibaya na madhara yeyote (kuizuia kwako wewe) dhidi ya hasidi kila na kutoka kila uovu na Allah atakuponya.


Je, Baada ya haya Maombi, Mtume wa Allah alipona? Kutokana na Hadith yetu ya kwanza, Mtume wa Allah hakupona licha ya kupata Maombi kutoka Malaika Jibri. Lakini katika Koran tunasoma kuwa Yesu alikuwa na uwezo wa kuponya watu, kufufua watu, kuumba, jambo ambalo Jibril na Mtume wa Allah, Muhammad hawakuwa nalo.
Ndugu zanguni,


Kwanini mfuate Mtume ambaye hakuwa na uwezo wa kuponya?


Kwanini mumsikilize, Malaika ambaye hakuwa na Nguvu za kuponya, licha ya kuwa alitumwa na Allah?
Kwanini Allah amtume Jibril kwenda kumwombea Mtume Muhammad, huku akifahamu fika kuwa Muhammad hato pona?
Hayo ni maswali machache tu ambayo unaweza jiuliza. Je, Allah ni Mungu? Kama ni Mungu, kwanini alishindwa kuponya Mtume wake Muhammad (Pbuh)?


Biblia inasema yafuato kupitia Injili kutokana na Marko.


Marko 16: 17"Nazo ishara hizi zitafuatana na wale waaminio: Kwa Jina Langu watatoa pepo wachafu, watasema kwa lugha mpya, 18watashika nyoka kwa mikono yao na hata wakinywa kitu cho chote cha kuua, hakitawadhuru kamwe, wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,
nao watapona."

Wakristo wamepewa uwezo wa kuombea wagonjwa katika Jina la Yesu, jamba ambalo halipo kwenye Uislam. Biblia inasema kwa Jina la Yesu, tutatoa Pepo Wachafu, n.k. Haya mamlaka tumepewa na Yesu. Yesu ametupa Jina lake ambalo lipo juu ya majina yote. Ndio jina pekee linaloweza kutoa pepo, kuponya, kufufua na kufanya mengi. Yesu hakuwa Nabii au Mtu wa Kawaida. Matendo yake yanajidhihiriza kila siku kupitia wafuasi wake.


Nawasihi mumpokee Yesu ambaye alikuwa na uwezo wa kufufua watu, kuponya watu na kuumba. Haya maneno yamesemwa na Allah kwenye Koran na Biblia inakiri hayo.


Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini alimtuma Jibril kumwombea Muhammad wakati akifahamu kuwa Muhammad atakufa?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
 

KUTOKANA NA KORAN: YESU ANAUMBA, ANAPONYA, ANAFUFUA WATU, LAKINI MUHAMMAD HAKUWA NA UWEZO HUO

.....
Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini alimtuma Jibril kumwombea Muhammad wakati akifahamu kuwa Muhammad atakufa?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,
Sijaona ulipojibu swali hili.

Nini maana ya kuumba?

Swali la nyongeza, nani kamuumba Yesu?

Muhammad alikufa.

Je unakana madai yako ya kuwa "Yesu alikufa msalabani"?

Je Yesu alikufa pia?
 

.......

Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini alimtuma Jibril kumwombea Muhammad wakati akifahamu kuwa Muhammad atakufa?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,

Yule alipeka ujumbe wa Mungu kwa Bikira Maria anaitwa nani vile?
 
What causes them to be ethical (moral) ? Or it is that their DNA are playing mdumange, when the DNA plays they just appear to be ethical ?

I do not know, Mkuu. Perhaps it is the spirit of God which goes wherever it will and enlightens whomever it will
 

KUTOKANA NA KORAN: YESU ANAUMBA, ANAPONYA, ANAFUFUA WATU, LAKINI MUHAMMAD HAKUWA NA UWEZO HUO

Koran leo imekiri kuwa Yesu ni zaidi ya Mtume. ,
The crowds answered, "This is Jesus, the prophet from Nazareth in Galilee."
 
E.g..............

Thank you, Mkuu. My work experience has taken me to 45 countries on five continents over 30 years. I have met many, many people - Buddhists from Myanmyar, Shintoists from Japan, non-theists from Korea, Papua New Guinea, the Netherlands, Mali, Tanzania, Egypt and many other places. I have not found them to be less concerned or caring of their fellow man than Christians, Muslims or Jews. If you would like to learn more about ethical people who are not theists, here a two websites that may interest you. There are many others. Washington Ethical Society : Welcome to the Washington Ethical Society!, www.en.wikipedia.org/wiki/Ethical-movement.
 
Hayo mengine huna majibu yake au unashauriana na IDs zingine?

unaelewa kuwa Yhwh ni Elohim? Je Yesu alimwita Mungu wake kwa jina lipi? Yesu alizungumza lugha ipi?

Yahweh | Bible | Encyclopedia Britannica

The Aramaic Name for God - Elah

Wapi Yesu Kristo kamwita Mungu wake kwa jina zaidi ya "Baba yangu" na kujiita mwenyewe "I am. .."
Yesu Kristo alitumia Kiaramaic, kwa akili yako unataka utumie Elohim ili uje uunganishe na Allah mkarabatiwa...
Endelea lakini sielewi Elohim lililo katika uwingi utaliunga na Allah IPI ?
Maana kuna Allah ambayo maana yake ni mungu
Lakini pia kuna Allah ambalo ni jina la Allah (mungu) wa Waisilamu

Hayo malink uwe unasoma wewe unayetaka Allah wako awe ndiye Elohim.
 
Wewe endelea kujipotosha na kupotosha wengine.
Mwenye akili ataitafuta Quran na kujisomea mwenyewe.




Mboma mnajibidisha kudanganya ? Mwenye akili gani atasoma Quran ? Na asome Quran ili iweje ?
Quran hukaririwa haisomwi kueleweka kwa kuwa yenyewe ni muujiza na kuona muujiza wa Quran lazima ujue lugha ya Allah ambayo ni kiarabu.

Achen ghilba..
 
Last edited by a moderator:
To respect human dignity by treating every one with equal concern and respect because of the intrinsic value of human life

Why do you think that human have some intrinsic value you wrote about ?
Who puts those intrinsic values in human. Who/what is transcend to all human being to be able to put intrinsic value to all human races ?
Are the value caused by dancing of human DNA ?
 

.......

Kama kweli Allah ni Mungu, kwanini alimtuma Jibril kumwombea Muhammad wakati akifahamu kuwa Muhammad atakufa?
Mungu awabariki sana,
Katika Huduma Yake,

Yule alipeka ujumbe wa Mungu kwa Bikira Maria anaitwa nani vile?

Malaika Gabriel.
Gabriel (Jibril in Arabic). link http://en.wikipedia.org/wiki/Archangel


Je unaweza sasa kujijibu swali ulilouliza hapo juu juu ya Allah kumtuma Jibril?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom