Mboma mnajibidisha kudanganya ? Mwenye akili gani atasoma Quran ? Na asome Quran ili iweje ?
Quran hukaririwa haisomwi kueleweka kwa kuwa yenyewe ni muujiza na kuona muujiza wa Quran lazima ujue lugha ya Allah ambayo ni kiarabu.
Achen ghilba..
Unaogopa kusoma Quran?
Kuwa katika lugha ya asili , Quran imejiwekea kinga ya kutofanyiwa uharibifu na upotoshaji kama ambavyo Biblia inafanyiwa. Hilo pekee ni jambo jema kwa mwenye kutumia akili.
Wewe unazungumza kiswahili ,kiingereza nk kwa nini iwe ni dhambi kujifunza kiarabu?
Last edited by a moderator: