The Atheists Paradox

The Atheists Paradox

Wewe unanijibu kwa kutumia kitabu cha Acts. Ni vema sana, lakini wewe huyo huyo unamtakaa PAULO ambaye ndie mwandishi mkuu wa hicho kitabu.

1. Je, sasa umeamua kukubaliana na maneno ya Paulo kuwa ni thabit?
2. Je, sasa unakubali kuwa Paulo ni Mtume wa Mungu?
3. Kama majibu yako ni hapa, Kwanini unamtumia Paulo kama moja Uthibitisho wako?
4. Kama majibu yako ni hapa, Kwanini unamnukuu Paulo huku ukifahamu kuwa wewe unampinga?

Nategemea utatumia hekima kunijibu na sio kama wale wengine kama FaizaFoxy dada wa mipasho.

Wewe unapotumia Quran ni kwa sababu unaikubali Quran? Unakuwa unakubaliana na maneno ya Quran?

Natumia Paulo kwa sababu wewe ndie unayemwamini. Vizuri umeona kuwa Paulo anawababaisha.
Huku anakwambia Yesu ni mtoto wa Mungu, kule anakwambia ni mtumishi wa Mungu, ukienda mbele anakwambia Yesu ni mungu, ukigeuka kusho anakwambua Yesu alikuwa na mungu.

Paulo anapiga stori za Yesu tu na kumsahau Mungu aliyemuumba Yesu.

Hapa Paulo anasimulia nini? Eli, Eli, lama sabachthani? that is to say, My God, my God, why hast thou forsaken me?
 
Last edited by a moderator:
"When the Paraclete comes, whom I will send to you from the Father, that is the Spirit of Truth, who proceeds from the Father, he will bear witness of me." John 15:26

Did Jesus and Isaiah PROPHESY the coming of MUHAMMAD?
Paraclito "Greek" means Helper or Holy Spirit is found in Job 16: 2. In Islam you do not have Holy Spirit or sometimes called the Spirit of Truth.

More than that, there is no Spirit of Truth in Islam.

You and me knows that Ahmed Deedat died a very bad death because of insulting Jesus.

 
Last edited by a moderator:
Wewe unapotumia Quran ni kwa sababu unaikubali Quran? Unakuwa unakubaliana na maneno ya Quran?

Natumia Paulo kwa sababu wewe ndie unayemwamini. Vizuri umeona kuwa Paulo anawababaisha.
Huku anakwambia Yesu ni mtoto wa Mungu, kule anakwambia ni mtumishi wa Mungu, ukienda mbele anakwambia Yesu ni mungu, ukigeuka kusho anakwambua Yesu alikuwa na mungu.

Paulo anapiga stori za Yesu tu na kumsahau Mungu aliyemuumba Yesu.

Hapa Paulo anasimulia nini? Eli, Eli, lama sabachthani? that is to say, My God, my God, why hast thou forsaken me?
I humbly asked you to be honest. It seems all of you have the same problem of dishonesty.

  • Wewe unanijibu kwa kutumia kitabu cha Acts. Ni vema sana, lakini wewe huyo huyo unamtakaa PAULO ambaye ndie mwandishi mkuu wa hicho kitabu.

    1. Je, sasa umeamua kukubaliana na maneno ya Paulo kuwa ni thabit?
    2. Je, sasa unakubali kuwa Paulo ni Mtume wa Mungu?
    3. Kama majibu yako ni hapa, Kwanini unamtumia Paulo kama moja Uthibitisho wako?
    4. Kama majibu yako ni hapa, Kwanini unamnukuu Paulo huku ukifahamu kuwa wewe unampinga?

    Nategemea utatumia hekima kunijibu na sio kama wale wengine kama FaizaFoxy dada wa mipasho.







Please answer me.
 
It is philosophically impracticable to be a non theist; since to be a non theist you must have adequate lowdown in order to know that there is no God and or no deity exist, inter-alia, to be sure about saying "God does not exist", you have to have infinite knowledge. Saying so, to have infinite erudition knowledge, a non theist would have to be God him/her/-self. It's a paradox to be God yourself and a non theist at the same time!

Wherefore, I would extend this by saying non theists rather than know God doesn't exist they in fact BELIEVE God doesn't exist, although they do not have evidence of their belief. Accordingly, this produces a problem since non theists defend their beliefs and condemn those of religion and or faith in God by saying religion is just a belief where as non theism is....???

Non theist Paradox

You are worst because you depict a human being to be your "God".
 
You are worst because you depict a human being to be your "God".

That is why non theists are Muslims and vice versa. The non theists sees the sonship of Christ, the divinity of Christ, the Incarnation, in which God became man, and laughs at such beliefs as silly. The Muslim does the same thing.
 

That is why non theists are Muslims and vice versa. The non theists sees the sonship of Christ, the divinity of Christ, the Incarnation, in which God became man, and laughs at such beliefs as silly. The Muslim does the same thing.

God did not become man, never. You depict man to be God aka idol worshiping. Pure paganism.
 
What about a "reconditioned " by human being god / allaah ?

BISMILLA.GIF
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
112_1.GIF
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. ***
112_2.GIF
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. ***
112_3.GIF
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. ***
112_4.GIF
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. ***

 
BISMILLA.GIF
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
112_1.GIF
1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. ***
112_2.GIF
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. ***
112_3.GIF
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. ***
112_4.GIF
4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. ***


Tukisema Mungu hatumaanishi Allaah wenu ! Tatizo unajibanza kwenye hoja zetu kuhusu Mungu na kujifanya Allaah naye ni Mungu...
 
Tukisema Mungu hatumaanishi Allaah wenu ! Tatizo unajibanza kwenye hoja zetu kuhusu Mungu na kujifanya Allaah naye ni Mungu...

Unaamaanisha mwanasesere wa kizungu aliyevishwa nepi na kutundikwa msalabani ukaambiwa huyu "mungu wako" nawe ukakubali, au siyo?
 
Unaamaanisha mwanasesere wa kizungu aliyevishwa nepi na kutundikwa msalabani ukaambiwa huyu "mungu wako" nawe ukakubali, au siyo?

No ! Ninamaanisha Yesu Kristo aliyekuja duniani zaidi ya miaka 2000 iliyopita na ambaye tunamtarajia arudi.habari ya mwanasesere waulize wanaojua historia ya Allaah alipokuwa kaabah ya makuraish kabla ya kukarabatiwa
 
BISMILLA.GIF
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU
112_1.GIF

1. Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee. ***
112_2.GIF
2. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa. ***
112_3.GIF
3. Hakuzaa wala hakuzaliwa. ***
112_4.GIF

4. Wala hana anaye fanana naye hata mmoja. ***

1Yohana 2:21-22
21 Sikuwaandikia ninyi kwa sababu hamwijui iliyo kweli, bali kwa sababu mwaijua, tena kwamba hapana uongo wo wote utokao katika hiyo kweli.
22 Ni nani aliye mwongo ila yeye akanaye ya kuwa Yesu ni Kristo? Huyo ndiye mpinga Kristo, yeye amkanaye Baba na Mwana.
 

That is why non theists are Muslims and vice versa. The non theists sees the sonship of Christ, the divinity of Christ, the Incarnation, in which God became man, and laughs at such beliefs as silly. The Muslim does the same thing.

Huu uzushi wa Incarnation mmeutoa wapi?

Mungu anahitaji Incarnation? Nilifikiri ni wahindi na mabuda tu ndio wana hii kitu.

Paulo pia amewapiga changa la macho kwa hii Incarnation?

Eli Eli..........
 
You mean a weak Allah? God can do whatever He wants. Allah is limited in power.
Allah alimtuma Jibril kwa Maryam....Matokeo yake wewe umepata "mungu" wa kumwabudu. Halafu unakejeli "Power" ya Allah?
Hujielewi.

Unayemwabudu anakwambia;

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Huyo the only true God , ndio Allah.

Utani unaufanya wewe, ulifanywa na Firauni pia. Unajua mwisho wa Firauni?

 
Allah alimtuma Jibril kwa Maryam....Matokeo yake wewe umepata "mungu" wa kumwabudu. Halafu unakejeli "Power" ya Allah?
Hujielewi.

Unayemwabudu anakwambia;

Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Huyo the only true God , ndio Allah.

Utani unaufanya wewe, ulifanywa na Firauni pia. Unajua mwisho wa Firauni?

Read the next verse and you will see how fool you are fooled by your bogus deity.
 
Huu uzushi wa Incarnation mmeutoa wapi?

Mungu anahitaji Incarnation? Nilifikiri ni wahindi na mabuda tu ndio wana hii kitu.

Paulo pia amewapiga changa la macho kwa hii Incarnation?

Eli Eli..........
How will a deity who can not have a son without Allat comprehend incarnation? If allah is akbar, then your question fallacious.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom