Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,320
Mkuu Nonda Huyo ajiitae Nkwesa Makambo ukisoma post zake zote hana akijuacho zaidi ya MATUSI na KASHFA.
Na Hii ni defence mechanism wanayotumia wote wasio na elimu ili basi tu na wao wajibu.
Kutwa kucha ni kutukana tu. Sasa sijui anapata faida gani hapam manake sioni hata wa kumpa "like" hata hao maadui wa UISLAMU pia Wanamdharau kwa Kurudia kashfa na Matusi yale yale.
Hii ndio hasara mkuu.
Sasa fikiria wazee wake wanajiskia vipi kuwa na mtoto sampuli hii.
Onesha Matusi husika, Misukule sio matusi, ni sifa kwa binadamu wanaokaririshwa mambo ambayo wakitafakari ni kinyume kabisa na uwezo wa binadam aliyepewa uwezo wa kutambua mema na mabaya.
Nimekwambie kwamba kabla ya Muhammad kuzaliwa, Allaah alikuwa ni mungu wa Makuraish wa Makkah, alikuwa akiishi ndani ya Kaabah (Nyumba yenu ya ibada iliyoko makkah)akiwa ndani ya Kaabah alikuwa na wasaidizi zaidi ya 360, na mabinti watatu.
Muhammad alimkarabati na kuondoa mabinti na wasaidizi ili abaki kuwa Mungu mmoja sawa na aliyuekuwa anaabudiwa na Wakristo na Wayahudi.
Sasa ninyi mmeaminishwa kuwa huyo ndiye Mungu wa Kweli na ndiyr Muumba wa Mbingu na nchi na vyote vilivyomo, watu kama ninyi ambao hamtaki kukubaliana na historia ya mungu wenu kuwa sio Mungu wa Ibrahim , Isaka na Yakobo na sio Mungu wa Bwana Yesu Kristo, muitweje kama sio Misukule ?
Au kama unayo version nyingine ya Allaah ilete ili nijifunze elimu mpya,Isitoshe mmecopy ibada nyingi za wafuasi wa Allaah kabla ya Muhammad hata kaabah mliwapora na kuendelea kuitumia kwa ibada kwa mungu yule yule.
Misukule Misukule Misukule
Haya ! Binadam aliyeshiriki Ubakaji, Uporaji na Uuaji mnamwitikadi kama mbora wa mitume, Mna akili kweli ninyi ?