The Africa They Never Show You

Kampeni tu hiyo ya kupromote kenyans kwa sababu kuna sehemu nyingi na nchi nyingi za Afrika hazijaonyeshwa. Kama unataka kuamini kwa manyang'au ndio afrika sawa. Very biased clip.
 
Kampeni tu hiyo ya kupromote kenyans kwa sababu kuna sehemu nyingi na nchi nyingi za Afrika hazijaonyeshwa. Kama unataka kuamini kwa manyang'au ndio afrika sawa. Very biased clip.

The problem is, Tanzanians doesn't want to do anything. Do you think a Kenyan will show Bongo instead of Kenya? They even say Mt. Kilimanjaro is in Kenya and no Tanzanian is saying a word.
 
Tatizo la Waafrika ni kuwa tunategemea watu watusemee na watusifie zile jitihada zetu na maendeleo yetu badala ya sisi kusema wenyewe. Wenzetu wanaonyesha maendeleo yao nje na kujitengenezea image yao, yale yote yasiyo mazuri huwezi kabisa kuyaona kwenye vyombo vyao vya habari nje labda uwe umebahatika kuishi ndani ya nchi zao na ukaona kwa macho yao.
Ukweli ni kuwa hatuhitaji approval ya watu wengine ili kujisikia kuwa tumeendelea. tunachohitaji ni kusoma kwa wenzetu yale yatakayotupeleka mbele na kuretain yale yetu yenye faida na sisi wether or not wanatusifia. Na sisi tuanze kujijengea iimage na kuwa proud na yale ambayo yametujenga.

mkuu nimekupata kabisa, yaani huwa napost picha nzuri nzuri za Dar lakini wabongo wenzetu watakejeli na kuanza kupost picha zingine za maeneo ambayo ndio yanasemwa na kuonyeshwa kila siku na mataifa ya magharibi, hizi picha tunazopost humu, mtu yeyote anaweza kuziona, tunaweza kuchefua watalii bure sisi mwenyewe halafu tunalalamika watu flani wnajidai au wana show off, mkuu show off siku nyingine inalipa, pita pita forums za wakenya kama utaona picha za ajabu ajabu kama sisi tunavyogombana kupost hapa, haimaanishi kuwa hawana slums na makazi yasio na mpango, hakuna , ni kujitengenezea image, huwa najaribu kuwaambia watu, slums za africa na makazi yasio na mpango hata usihangaike kujitangaza kwenye internet kwamba mnayo au hakuna, kila mtu hasa mataifa ya magharibu wanajua, kilichopo ni wewe kupost tuu eneo zuri la kwenu ili wajue oh kumbe na kwao kupo hivi, lakini mbogo huwa hawazoi hayo, juzi juzi juzi baada ya kupost picha nzuri za dra kuna msela akaniona napotosha jamii kwmab bongo ni magorofa tuuu, basi yeye alipost mpaka ubalozi wa marekani uliopigwa bomu, kama haitoshi vile akapost mpaka maporomoko ya victoria ya huko zambia na zimbabwe, duh, kazi ipo, **** hujipendi nani atakupenda?
 
mkuu nimekupata kabisa, yaani huwa napost picha nzuri nzuri za Dar lakini wabongo wenzetu watakejeli na kuanza kupost picha zingine za maeneo ambayo ndio yanasemwa na kuonyeshwa kila siku na mataifa ya magharibi, hizi picha tunazopost humu, mtu yeyote anaweza kuziona, tunaweza kuchefua watalii bure sisi mwenyewe halafu tunalalamika watu flani wnajidai au wana show off, mkuu show off siku nyingine inalipa, pita pita forums za wakenya kama utaona picha za ajabu ajabu kama sisi tunavyogombana kupost hapa, haimaanishi kuwa hawana slums na makazi yasio na mpango, hakuna , ni kujitengenezea image, huwa najaribu kuwaambia watu, slums za africa na makazi yasio na mpango hata usihangaike kujitangaza kwenye internet kwamba mnayo au hakuna, kila mtu hasa mataifa ya magharibu wanajua, kilichopo ni wewe kupost tuu eneo zuri la kwenu ili wajue oh kumbe na kwao kupo hivi, lakini mbogo huwa hawazoi hayo, juzi juzi juzi baada ya kupost picha nzuri za dra kuna msela akaniona napotosha jamii kwmab bongo ni magorofa tuuu, basi yeye alipost mpaka ubalozi wa marekani uliopigwa bomu, kama haitoshi vile akapost mpaka maporomoko ya victoria ya huko zambia na zimbabwe, duh, kazi ipo, **** hujipendi nani atakupenda?

Mkuu upo sawa kabisa
 
Bongo ipo finyu sana. Wataalam do something na kutangaza Bongo.
 
there is nothing much to show, that is what it is...wakenya walijitangaza mt knjaro ipo kwao. hata babu wa samunge tu walijipiga promo
king'

hivi wakenya wanaweza kweli kuwa na beauties tulizo nazo??? matema, mtwara, selous, kidatu, kihansi, serengeti, ngorongoro, national stadium, kilimanjaro, hotels, cultural sites, kondoa caves, amboni nk?? hata majengo tunayo, basi tu
 
wakenya hawatukuti kwa rasilimali. lakini hatuwezi kuwasubiria watutangazie.unajua walishawahi pia kutangaza mbuga ya serengeti ipo kwao? unajua mlima k'njaro upo kwenye mchakato wa kuingizwa kwenye maajabu ya dunia for 3+ months now na unatakiwa upigiwe kura among other wonder? niliona advert moja tu kwenye tv,accidentally! kama ungekua kenya im sure wizara ya utalii ingeingia msituni na kuweka hata sms ya bure ya kupigia kura mlima wetu! ar we good at anything really?!
king'

hivi wakenya wanaweza kweli kuwa na beauties tulizo nazo??? matema, mtwara, selous, kidatu, kihansi, serengeti, ngorongoro, national stadium, kilimanjaro, hotels, cultural sites, kondoa caves, amboni nk?? hata majengo tunayo, basi tu
 
Back
Top Bottom