Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Hao wasikuambie kitu...wawajua warembo wa afrika nzima wewe? Lulu amekuwa katika kumi bora..upo!
Kwa kweli wakenya wakawaida sana! Ndio maana dada yetu wa bongo Namtero Mdee aka 'tero' alipoenda huko aliwachanganya na kuwakoroga akili zao!
Wabongo huwa mnaishi vipi na wake zenu, maana ukishaona mwanaume mwenye ubaguzi kwa dada yeyote kwa misingi ya nchi huyo ana mapungufu ya kila aina. Lazima mna matatizo sana wanaume wa Kitanzania. A man is supposed to appreciate beauty in every woman, kila dada ana urembo kiaina, ukitaka kuona mabaya utayaona tu kwa kila malkia.
Mambo kama haya ndio hufanya wanaume siku hizi ngoma kitandani ni magumashi, maana umekomalia kuangalia mabaya.
Acha maneno mengi wewe, unaongea mno!!
naona wanavitambiwengine happa, ilikuwa kwenye anniversary ya skylux club mjini nairobi, picha ni za kwenye mtandao
View attachment 62698View attachment 62699View attachment 62700View attachment 62701View attachment 62702View attachment 62703View attachment 62704View attachment 62710
Haiya, watoto wa watu warembo.
naona wanavitambi
Kwenye shughuli hali inakuwaga tofauti na hayo mabusuKwani kitambi kina matatizo gani, kwanza kizuri sana cha kupiga mabusu. Yaani chochote kwa mwanamke ni kitamu.
Kwenye shughuli hali inakuwaga tofauti na hayo mabusu
yaani baada orgasm na kutulia ...basi nikifikiri/ au kuona huyu dem ana kitambi hapohapo appetite ya round ya pili hupotea, bahati mbaya ukute hicho kitambi kina mikunjo mikunjo lolololh, in fact dem mwenye kitambi huwa si priority yanguUnless wewe uko tofauti, mimi ninachofahamu tukiwa kwenye shughuli wote huwa machizi, hamna cha kuangalia nini wala nini, eti kitambi, eti hajasoma na mengineyo. Huwa mnaingiana na kuisahau dunia. Wewe unafikiria nini kinafanya mtu unamramba dada humo humo kama sio chizi. Huwa mnapata fahamu baada ya orgasm na kutulia kabla uwazimu haujarejea tena. Huo ndio utamu wa ngono, kujisahau na kuwa chizi.
yaani baada orgasm na kutulia ...basi nikifikiri/ au kuona huyu dem ana kitambi hapohapo appetite ya round ya pili hupotea, bahati mbaya ukute hicho kitambi kina mikunjo mikunjo lolololh, in fact dem mwenye kitambi huwa si priority yangu
Yaani ni huwa nachukua all precautions ili nisije nikakutana na demu mwenye kitambiHahaha bana wee naona huna raha dunia hii, yaani hata mabinti ingekua wanatuangalia mabaya, hata kutukaribia ingekua ngumu. Ukipumzika baada ya orgasm usihangaike kumuangalia chochote kitakacho ku-turn off. Tulia hadi uchizi uje tena.
Yaani ni huwa nachukua all precautions ili nisije nikakutana na demu mwenye kitambi