dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,936
- 8,345
Jamani kuna mahara tufike tuseme ukweli huyu jamaa sio handsome na kama umedai hivo basi unamachaguzi mabaya usije ukatumwa kutafutia m2 mchumba ukamletea Bwabwa ....macho yako mwenyewe yanakudanganya au hisia ndo tatzo.... Mbona jamaa kazidiwa uzuri hadi na marehemu kanumba........I am a boy
This is my handsome man, my future husband, my everything awww I love him 😍😍❤️ View attachment 996665
Kapaka rangi kucha au macho yangu hayaoni vizuri 😲😲This is my handsome man, my future husband, my everything awww I love him 😍😍❤️ View attachment 996665
Mwanaume beautiful!!Beautiful.
Kama mchele mchele vileNdio mwanaume. Kwani wewe unaonaje?
Mwanaume beautiful!!
Nimekuelewa mkuu. Tuwaache watu na mapenzi yao, Mungu awasaidie.Wewe unaona kuna mwanaume hapo?Sikuandika kwa makosa hilo neno.