Thanks Paka Jimy

Nimefurahi kweli na hii News ..Lakini Nyanda za juu kukoje ..unaenda sehemu unakosa pa kulala ..ushirikiano Zero ..siku zote me nalala Police kwa msaada ..i wish PJ ungekuwepo mtu mwema
Ubarikiwe na bwana ...
kuna mtu nabishana nae huku chat-room ananiambia ulikuwa dar siku za karibuni.............
sasa kwa namna ninavyokupa respect sikuwahi kutegemea kama ungekuja na kutoka kimya kimya HASA NIKIKUMBUKA WHAT HAPPENED PALE ROCK-CITY........
naomba unithibitishie uvumi huu kwamba ''ULIKUJA DAR''.........
samahani kama nimekukwaza binamu...........
i am waiting
 
Kumbe nina kesi ya kujibu hii thread imeisuta nafsi yangu na mimi nilipokelewa VIZURI sana na PRETA na nilifikia kwake,nilikaa siku 2 alinipa gud time sana jioni tukatoka out na Lily Flower na Member 1 anaitwa Dani. Sitosahau siku ile kweli ARUSHA nitarudi.
 
mkuu piijeei,
mimi naikumbuka sana ile valuu ya pale wapi sijui...........
dah!
unatisha piijeei
 
Wakuu... JF ni mahali pazuri kwa tunaoitakia nchi yetu mema! mbali na siasa, intelligensia na mambo mengine mazito na ya maana... nadhani jamii, mahusiano na mapenzi ni ada yetu ya kila siku and no one can survive without...

Siku za karibuni nilipita Arusha very briefly, na lazima niseme kwamba nilipata company nzuri sana toka kwa PJ... personally i felt very proud kwa namna ambavyo social network hii imenifanya kupata company nzuri mbali na familia yangu, we had a blast that day and i am sure he enjoyed my company na kujua zaidi intreset zetu pamoja na maisha ya kila siku

this is what we live for, peace and love and for this one i am obliged to give a big up to PJ for his hospitality

DN
halafu ukiwa dar usisahau red-lebel eeh!AHADI NI DENI........
 
Nimefurahi kweli na hii News ..Lakini Nyanda za juu kukoje ..unaenda sehemu unakosa pa kulala ..ushirikiano Zero ..siku zote me nalala Police kwa msaada ..i wish PJ ungekuwepo mtu mwema
Ubarikiwe na bwana ...

Pole sana FL1, nekst taim ukitaka kwenda huko let me know, utapata huduma bora pale kanisani kwetu... Nitaku-refer kwa Askofu mwenzangu wa kipande ile...
 
kuna mtu nabishana nae huku chat-room ananiambia ulikuwa dar siku za karibuni.............
sasa kwa namna ninavyokupa respect sikuwahi kutegemea kama ungekuja na kutoka kimya kimya HASA NIKIKUMBUKA WHAT HAPPENED PALE ROCK-CITY........
naomba unithibitishie uvumi huu kwamba ''ULIKUJA DAR''.........
samahani kama nimekukwaza binamu...........
i am waiting

Geoff Please .wasiliana na Pearl kuhusiana na hili ana full info mpendwa

Heshima mbele Binamu
 
Kumbe nina kesi ya kujibu hii thread imeisuta nafsi yangu na mimi nilipokelewa VIZURI sana na PRETA na nilifikia kwake,nilikaa siku 2 alinipa gud time sana jioni tukatoka out na Lily Flower na Member 1 anaitwa Dani. Sitosahau siku ile kweli ARUSHA nitarudi.

ha ha ha.....karibu sana Arusha ukijisikia kuja wakati wowote nyumba bado ina nafasi....safari ijayo nitakupeleka ukatembelee Yaeda
 
Mkuu De Novo, just seeing this!

Woow, nadhani umefika salama Chimbo!
I think iam the one who was supposed to open a thread to thank you for considering my presence in A-Town, giving it a due respect, and finally taking a step ahead by PM'ing me!...really it takes a person of your type to be this gentle!

Men, out there, we had a memorable tym with this buddy and his co-workers, and we witnessed with our eyes as the earth made a one-minute-stop, to usher this great unification!
I learnt that a happiest person on earth is the one who succeeds making more friends!

Pal, thanks again!
Mkuu....nina mpango wa kuja huko soon for vekesheni....Nitakutafuta
 
Pole sana FL1, nekst taim ukitaka kwenda huko let me know, utapata huduma bora pale kanisani kwetu... Nitaku-refer kwa Askofu mwenzangu wa kipande ile...

du du Askofu nafikia kanisani tena ....Sebene namwachia nani sasa ....? nakushukuru sana Askofu ubarikiwe na bwana ..
***Well noted ****
 
kuna mtu nabishana nae huku chat-room ananiambia ulikuwa dar siku za karibuni.............
sasa kwa namna ninavyokupa respect sikuwahi kutegemea kama ungekuja na kutoka kimya kimya HASA NIKIKUMBUKA WHAT HAPPENED PALE ROCK-CITY........
naomba unithibitishie uvumi huu kwamba ''ULIKUJA DAR''.........
samahani kama nimekukwaza binamu...........
i am waiting
:drum::target::confused3:

Geoff Please .wasiliana na Pearl kuhusiana na hili ana full info mpendwa

Heshima mbele Binamu
:rofl:

Tuendelee....
 
Back
Top Bottom