Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Nasikitika tutawakosa Kaizer na Fidel. Lakini hakuna jinsi....
Ndio madhara ya kushabikia matimu mabovu.
Naenda kupooza machungu kwa Matonya hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikitika tutawakosa Kaizer na Fidel. Lakini hakuna jinsi....
Ndio madhara ya kushabikia matimu mabovu.
PJ,
Vpi na hapo Mrina & Shivaz wale "wana maombi" bado wapo tupande hapo na Nabii Tito?( la kizushi kaka):
PIIJEEI hivi haupo karibu na stella nikupigie nimsalimie.....Wale hawakosi broda...ni kama wamejengewa pale!...Huduma inatakiwa , tena haraka!
PIIJEEI hivi haupo karibu na stella nikupigie nimsalimie.....
hilo dadaaaaz la ki-ngosha HESHIMA
FL1 HESHIMA MKUU.............!Ndo za wasukuma hizo mkuu!...Si mwenyewe ulimwona FL1...utaoa mpya bila kutaliki wa zamani!
sawa mkuu, leo tupo na unakaribishwa... Ukifika dodoma nenda veyula karibu na kanisani pale kuna wataalam wa choya, jamaa flani wa kondoa huwa wanakuzia hadi watotohahahaha mzee hii j'mosi nitakuwa dom hapo inapatikana kwa wingi lazima nidumishe mila kama kawa.
mkuu nadhani muda umewadia sasa!ngoja niwahi daladala..........sawa mkuu, leo tupo na unakaribishwa... Ukifika dodoma nenda veyula karibu na kanisani pale kuna wataalam wa choya, jamaa flani wa kondoa huwa wanakuzia hadi watoto
Ndo za wasukuma hizo mkuu!...Si mwenyewe ulimwona FL1...utaoa mpya bila kutaliki wa zamani!
FL1 HESHIMA MKUU.............!
asingekuwa huyo ''mwekezaji'' aliyejiweka kwake jumla jumla........
halafu asingekuwa MSHIKIIIZ.............
hehehehe!leo hii mngekuwa siriaz kwenye vikao vya harusi yangu na fl1
noted binamu.....i salute G
noted binamu.....
ngoja niwahi RED-LABEL kwa de-novo!