Thanks michuzi blogspot

Status
Not open for further replies.
Membe hawezi kuwa Raisi wa nchi hii
Hana jina kwa watanzania kama alivyokuwa kikwete
watanzania wengi wana tegemea CCM wataweka Magufuli, sitta, mwandosya, mwakyembe au Lowasa nje ya hapo ni kushindwa mbaya bora waweke chenge kuliko membe
Tatizo magamba hata wakimsimamisha Kenge atakuwa rahisi kwakuwa dola ndo hutumika kuibia kula!!wewe unadhani zile shahada zilizokutwa kule Tamesa zilikuwa za uganda??Jibu unalo
 


Viongozi wenye uwezo wa kutupeleka mbele wapo.
Hatuhitaji kumflash huyu lowassa.
Unapozungumzia uongozi,mbona hutaji hulka yake ya wivi?
OTIS.

Ndio maana kama umesoma post yangu, mwanzoni kabisa nimesema tuache negative side yake.
Hapa wengi hata mimi ninampinga EL, but kwa utendaji huyu jamaa alikuwa makini. Alikuwa na mipango mingi sana ya kukuza uchumi.
 

mentality ya watanzania wengi ni 'kuchagua' personality...
na sio kuchagua most qualified guy kutumikia.....
always utasikia nitafanya hiki au kile...
husikii nilifanya hiki na kile.....
na wananchi wako so easy 'kusamehe' na kukubali to settle for less kwenye politics kuliko kitu kingine
its sad...
 
Ndio maana kama umesoma post yangu, mwanzoni kabisa nimesema tuache negative side yake.
Hapa wengi hata mimi ninampinga EL, but kwa utendaji huyu jamaa alikuwa makini. Alikuwa na mipango mingi sana ya kukuza uchumi.

mipango ya uchumi?????pleaase..
Yeye ndie aliekuwa the 'brain' ya mabilioni ya Kikwete....
ni upuuzi gani ule aiseee.......
waulize wachumi wakwambie 'athari za kugawa pesa'
ovyo kwenye uchumi.....huu ambao still ni 'maandazi economy'...
 
Ndio maana kama umesoma post yangu, mwanzoni kabisa nimesema tuache negative side yake.
Hapa wengi hata mimi ninampinga EL, but kwa utendaji huyu jamaa alikuwa makini. Alikuwa na mipango mingi sana ya kukuza uchumi.
Yes bro the guy has his quality... but i do think wapambe wamemvamia mapema sana, and as always you are what you eat

ukizinguka kutwa na MTM basi watu wataku-judge ki-MTM na jamaa anatakiwa abaki kwanza afanye filtration ya nguvu

waliomuangusha JK si yeye, ni hao waliomzunguka mapema na kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa kulinda viulaji vyao

time will come and time will tell, it is our Hippocratic way of life that ruins nation development, na ukisema ukweli utaona wanavyohangaika

I was in a few embassies miezi michache iliyopita nikauliza "hivi kweli tumefika wakati tunaangalia ajaye huyu kafa".... kila mtu anasema, aaah bwana weh, unadhani tunapenda?? si basi tena tutafanyaje??

OMG
 
Nakubaliana na wewe, but kiongozi mkuu wa nchi anatakiwa aandaliwe mapema. Miaka mitano ni michache sana, 2015 its not far. Nchi za wenzetu maraisi huwa wanaandaliwa toka wakiwa wadogo.
Kikwete mwenyewe kaandaliwa for mor than 10 yrz.
Inflation ni kitu cha kawaida, inatokana na forces za demand na supply, sidhani kama kiongozi wa siasa anaweza kusaidia chochote. Tunaona China now wanavyohangaika na inflation pamoja na kuwa wapo vizuri kiuchumi.
 
mipango ya uchumi?????pleaase..
Yeye ndie aliekuwa the 'brain' ya mabilioni ya Kikwete....
ni upuuzi gani ule aiseee.......
waulize wachumi wakwambie 'athari za kugawa pesa'
ovyo kwenye uchumi.....huu ambao still ni 'maandazi economy'...
actually ile pesa imeenda shimoni and kwa sheria ndogo tu zinazosimamia public accounting ile ni issues

kama kawa funika kombe

I worked on some projects with local government, i can bet my head, 40% ya pesa ni losses tu kwa serikali.... na hivi ndio tunavyotaka kiongozi ajae azisimamie, sio kutumia fookign bloggers wasio na uelewa wa nchi zaidi ya kutudanganya

mpuuzi kama OTIS yeye anaangalia things superficially... hebu akasome district evelopment plans, asome ripoti za kamati za ulinzi na usalama, aongee na watendaji

halafu aje hapa na pumba zake na vi-boarding pass vyake akidhani that is what we want

inakera sana aisee

the country is crying and a few morons just think its like fiesta
 

inflation???
ya China na sisi ni hadithi mbili tofauti...
inflation yetu ina changiwa na mambo mia kidogo
1.dollarization ya uchumi..
2.uchumi wa 'kuagiza bidhaa'
a consumer nation...
3.unregulated industry ,mfano oil industry....na zingine..
4. the list is endless
 
kweli rejao kwenye maandalizi

lakini sio kwa madomo na ubwabwajaji


haandaliwi na bloggers, anaandaliwa majukumu
 
Well said mkuu!
 
mipango ya uchumi?????pleaase..
Yeye ndie aliekuwa the 'brain' ya mabilioni ya Kikwete....
ni upuuzi gani ule aiseee.......
waulize wachumi wakwambie 'athari za kugawa pesa'
ovyo kwenye uchumi.....huu ambao still ni 'maandazi economy'...
The Boss,
Sion kama kitendo cha kutoa zile hela kilikuwa na tatizo. Hazikuwa na madhara cuz ziliamount percentage ndogo sana kwenye circulation ya hela. Zingekuwa na asilimia kubwa kiuchumi zingesababisha madhara kama inflation ambayo ni decrease in purchasing power.Tatizo lilikuwa kwenye mipango mibovu, na namna ya kuzicontrol. Zilifaidisha wachache kinyume na malengo yake.
Dunia hii unategemea upate wapi interest free loan? Watanzania tungetumia vizuri zile hela zingetufikisha mbali. Viongozi wetu walikuwa na nia nzuri but sisi wewnyewe tulishindwa kuitumia fursa tuliyopewa.
 
kweli rejao kwenye maandalizi

lakini sio kwa madomo na ubwabwajaji


haandaliwi na bloggers, anaandaliwa majukumu
Ndio Tanzania yetu hii MTM, inabidi tu tukubaliane na hali halisi
 
and poor aacounting system..... dependency yetu kubwa inatokana na corrupt official wanaotushushia thamani

madini na samaki tu vingeweza kupunguza inflation
 

viongozi walikuwa hawana 'brain' ya kuondoa umasikini,period...
tazama data hizi.....
1. mabilioni ya kikwete yalikuwa around 20 bilioni mpaka 200 bilioni hivi,nimesahau excact number..

2.IPO ya NMB peke yake zilirudishwa zaidi ya bilioni 100,baada ya kuwa oversubscribed....

sasa kama una wananchi tayari wana bilioni nyiingi za 'kuivenst' mpaka wanarudishiwa..

busara ni nini????? kuongeza pesa kwenye circulation??au kutafuta namna ya kuelekeza
pesa za wananchi kwenye 'investment zingine' ili nchi ifaidike?????

hivi unajua UTT peke yake wamekusanya zaidi ya bilioni 500 kutoka kwa watanzania?????

hii nchi shida sio pesa kwa wananchi...hii nchi shida ni viwanda na biashara ambazo ni 'new economy'

na hilo ndo hatuna kiongozi mwenye 'maono' nalo so far...
 
and poor aacounting system..... dependency yetu kubwa inatokana na corrupt official wanaotushushia thamani

madini na samaki tu vingeweza kupunguza inflation

hapo kwenye accounting ndo utalia ukipata data...
wakurugenzi wa halmashauri..wote ni mabilionea.....wezi..
ni Mrema peke yake ndo anahangaika nao...sad...
 

Jesus Christ!!! Umenikumbusha UTT

waliitana, tena wengine toka nje, wakakaa na novel idea... kama kawa panya buku walikua wanacheki tu mbao gani za lenta zitawafikisha kwenye siagi

kiko wapi

we are not accountable
 
...................now, where the fook is otis, i she sleeping now?
 
Pasco siamini kabisa kama ni post yako, yaani unamfagilia Membe awe rais wa nchi basi tena.

hamjamuelewa PASCO, ili magamba washindwe vizuri 2015 tuzidi kumpigia chapuo Membe apitishwe na chama chake, jua akipitishwa huyo makundi ya CCM yatazidi maradufu ya makundi ya sasa, CDM kipindi hicho itabeba nchi kilaiiiini.
 

Bro, mdomo unaumba eti! Membe ni uchuro kama uliopo, kazi kwenu wananchi, uzeni nchi kwa mara ya 2.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…