Thank's God, to have a Baby Girl..!!

Thank's God, to have a Baby Girl..!!

God's always Great!! Baada ya pilika za hapa na pale, leo ni siku muafaka kumshukuru Mungu kwa kumuwezesha my (wife) kujifungua salama mtoto wa kike named EMELYN. Ninawashukuru pia wana JF kwa msaada wenu wa mawazo: Kajifungua kwa OPERATION, pale Mount Mkombozi Morocco, na siku ya pili tu akawa ameruhusiwa!! Mama na Mtoto wote wanaendelea vizuri. Gharama halisi ukiondoa takataka zingine ni laki 7 tu. Thanks!!

Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/515511-gharama-halisi-za-kujifungua-kwa-operation.html

I real appreciate all: Wanasema First Born akiwa wa kike basi ni Baraka!! A baby makes LOVE stronger!! Natumai kujaliwa na kuzidishiwa mema zaidi onwards!!

2zeyxqp.gif
2zeyxqp.gif
​
2zeyxqp.gif

svrink.jpg
2urxssj.jpg
2f05bvm.jpg
2h3r9ty.jpg
29uvako.jpg



cc: Mdia, Heaven on earth, miss strong, Uliza_Bei, DEMBA, Kijino, kabanga, OLESAIDIMU, Shark, BAK, MWAMUNU, bornagain, The secretary, christine ibrahim, Mkempia, Mkunde Original Dahlia, snowhite, ako me maste, Chabo, donbeny, nosspass, lukindo, BelindaJacob, dolevaby Jeji, Angelicious msemakweli2 monaco Ennie Marylyn jaxonwaziri Eli79, Tutor B The Boss na Wooooooote!!!
this week also pmoses95 nae amepata mtoto wake hahahaah wanaume hamchezi mbali hongereni sana
wakuu Sizinga na pmoses95 mungu awalinde na kuwakuwza watoto wenu .
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kwa Familia yenu kuongezeka.
Ahsante sana Kennedy, nawe ubarikiwe aisee, it gives more happy n joy

hongera sana
Thanks miss chagga,wasalimie kibororoni huko!! Lol
this week also pmoses95 nae amepata mtoto wake hahahaah wanaume hamchezi mbali hongereni sana
wakuu Sizinga na pmoses95 mungu awalinde na kuwakuwza watoto wenu .
Aisee sikulijua hilo kuhusu pmoses95, mpe hongera yake ukimuona!! Thanks kwa baraka zako!!@Nivea
 
Last edited by a moderator:
Hongera saana,
Thanks sana mkuu

Hongera bwana
Thanks The secretary

Hongera na sie tupate wachumba. Naomba kubook wakati ukifika.
Duh mkuu mbona mapema sana, still window is closed even booking is not allowed!! Hiyo Avatar yako nayo yantisha ati!!

Pole zake sana wife kwa operation na hongereni sana kwa kupata baby girl
Pole zimefika...amepoa, thanks alot mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
.....
Duh mkuu mbona mapema sana, still window is closed even booking is not allowed!! Hiyo Avatar yako nayo yantisha ati!!
.......
Bongo lazima ufanye booking ila mahari hayataletwa mapema kama huyu (click) nisije fungwa bure
 
Mungu alieruhusu mtoto kuzaliwa aendelee kumlea na kumkuza akimpigania na kumlinda na mabaya yote

Wazazi Hongereni kupata Binti mpendwa
 
Mungu alieruhusu mtoto kuzaliwa aendelee kumlea na kumkuza akimpigania na kumlinda na mabaya yote

Wazazi Hongereni kupata Binti mpendwa
Amen...thanks

congrats.....,,God blec u....
Thanks...blessings!!

Hongera mkuu kwa baby girl......"wana wa ujanani ni kama mishale mikononi mwa shujaa"
Asante mkuu...nukuu nzuri nimeipenda!!

Hongera Baba Eme
Waoh...nshakuwa baba sahivi!! Before nikiitwa Bakijacho!!Lol

Bongo lazima ufanye booking ila mahari hayataletwa mapema kama huyu (click) nisije fungwa bure
Mkuu naona umejihukumu mwenyewe!! huwezi kula ubwabwa mkuu!!bila kulima!!
 
Hongera baba nanihii kwa kutuletea mwana jamvi mwingine !!
 
Kaka mkuu Sizinga hii habari njema sana!!!!

Mungu awakuzie kwa baraka za kizazi chema kabisa na mpe pole sana.shemeji!!!

Sasa hapa tunaongea lugha moja ya diapers,maziwa,wipes na makolombwezo kama hayo!!!! Karibu dunia la ulezi kaka tuwalee waje kuwa kama sie hapa raia wema!!!!
 
Back
Top Bottom