Thank's God, to have a Baby Girl..!!

Thank's God, to have a Baby Girl..!!

Mkuu hongera sana, Mtangulize Mungu katika yote,,... wengine tunatamani mtt wa kike ila wapiii....ubarikiwe sana...
 
Hongereni sana.
Mungu awape afya njema mama na mtoto. na wewe, of course.

mkuu hongera sana!

hongera mkuu
Thanks sana makoyo

Congrats ,take a good care of a little angel:smile:
Yap sure...its my duty to care little gel....thanks too

Mkuu hongera sana, Mtangulize Mungu katika yote,,... wengine tunatamani mtt wa kike ila wapiii....ubarikiwe sana...
Mh muombe tu naamini utajaliwa usikate tamaa wala kujutia, one day Yes utafanikiwa!! Ni mapenzi ya Mungu tu not otherwise!!

hongera sana mkuu,but ashukuriwe sana mwenyezi mungu kwa baraka zake
Thanks MR KAN ubarikiwe sana...!!!
 
Last edited by a moderator:
^^
Baraka na Bahati zijaze hifadhi ya nyumba yenu
^^
 
Hongera sana,
Amekuja na baraka kweli maana nasikia huko Dar es Salaam mna kamvua.
 
Hongera kaka

Wanasena mtoto wa kike analeta chakula nyumbani/ndani...

Watoto wa kike wanaraha sana...MUNGU awape moyo wa adili katika kumlea...
 
God's always Great!! Baada ya pilika za hapa na pale, leo ni siku muafaka kumshukuru Mungu kwa kumuwezesha my (wife) kujifungua salama mtoto wa kike named EMELYN. Ninawashukuru pia wana JF kwa msaada wenu wa mawazo: Kajifungua kwa OPERATION, pale Mount Mkombozi Morocco, na siku ya pili tu akawa ameruhusiwa!! Mama na Mtoto wote wanaendelea vizuri. Gharama halisi ukiondoa takataka zingine ni laki 7 tu. Thanks!!

Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/515511-gharama-halisi-za-kujifungua-kwa-operation.html

I real appreciate all: Wanasema First Born akiwa wa kike basi ni Baraka!! A baby makes LOVE stronger!! Natumai kujaliwa na kuzidishiwa mema zaidi onwards!!

2zeyxqp.gif
2zeyxqp.gif
​
2zeyxqp.gif

svrink.jpg
2urxssj.jpg
2f05bvm.jpg
2h3r9ty.jpg
29uvako.jpg



cc: Mdia, Heaven on earth, miss strong, Uliza_Bei, DEMBA, Kijino, kabanga, OLESAIDIMU, Shark, BAK, MWAMUNU, bornagain, The secretary, christine ibrahim, Mkempia, Mkunde Original Dahlia, snowhite, ako me maste, Chabo, donbeny, nosspass, lukindo, BelindaJacob, dolevaby Jeji, Angelicious msemakweli2 monaco Ennie Marylyn jaxonwaziri Eli79, Tutor B The Boss na Wooooooote!!!

hongera sana kiongozi na mungu awape maisha marefu na yenye amani tele.
 
Mh ni neno jema ntalifanyia kazi...ila sidhani kama mimi ni mwoga wa majukumu...manake kuuliza is simply to have an idea of what is real thing!!
pole wangu usihofu nipo na wewe kuzidi unavyofikiria nawapenda sana watoto huwa sipendi kwa jinsi yoyote nikihisi wameumizwa naumia sana japo kwa mimi mpaka sasa bado MUNGU hajanijalia mtoto lakini naimani nitampata. inawezekana ndo mana nakuwa mkali kwa kuwa labda sina mazoea ya kuwalea na huwenda sijui wanalelewaje lakini yoyote kwa yote ninafuraha sana kwa ajili yako MUNGU AWABARIKI SANA.
 
Hongera sana,
Amekuja na baraka kweli maana nasikia huko Dar es Salaam mna kamvua.
Hivi umejuaje??? Manake the day anazaliwa saa 4.30 asubuhi palinyesha mvua ya wastani hivi...aisee, marvelous !!
 
pole wangu usihofu nipo na wewe kuzidi unavyofikiria nawapenda sana watoto huwa sipendi kwa jinsi yoyote nikihisi wameumizwa naumia sana japo kwa mimi mpaka sasa bado MUNGU hajanijalia mtoto lakini naimani nitampata. inawezekana ndo mana nakuwa mkali kwa kuwa labda sina mazoea ya kuwalea na huwenda sijui wanalelewaje lakini yoyote kwa yote ninafuraha sana kwa ajili yako MUNGU AWABARIKI SANA.

Waoh...I wish I could know you personally....coz u got so many good ideas!! One I wish upate mtoto mzuri in ur life na uzidishiwe more!! Kumbuka Abraham alipata mtoto wakati yupo kikongwe..so usikate tamaa madame!!
 
Hongera kaka

Wanasena mtoto wa kike analeta chakula nyumbani/ndani...

Watoto wa kike wanaraha sana...MUNGU awape moyo wa adili katika kumlea...

Asante sana kiongozi..!!Im happy
 
Hongereni sasa Baba na Mama Emelyn. Nakumbuka kuuona uzi wako na njia panda zake. Good to know there is a happy ending to it na kuwa mama na mtoto wako salama. Pia kuona costs wala hazikufika 6 digits. lol. Kama naviona vinguo vya pink kibaooo!!

Nawaombea heri pia zaidi ili akue akimpendeza Mungu na wanadamu ili apate kibali na kao mbinguni na duniani.
 
Back
Top Bottom