mwamagunda
Member
- Feb 27, 2011
- 13
- 0
Nipo kazini kwa muda mrefu kidogo hivi sasa!
Wakati naanza kazi nilikuwa na matumaini makubwa ya kutoa mchango mkubwa katika utoaji wa huduma katika eneo langu la kazi, lakini naweza kusema hali halisi inanikatisha tamaa, japo bado sijakata tamaa bado!
Katika utumishi wa serikali hivi sasa (angalau mahali fulani) kutosema ukweli hasa pale mambo fulani yakienda mrama! Anayesema ukweli anageoka kuwa adui wa karibu kila mtu, hata wale ambao ni wazi kuwa hawanufaiki kwa lolote na uwongo humshangaa mwenye kusema ukweli!
Tunakwenda wapi?
Wakati naanza kazi nilikuwa na matumaini makubwa ya kutoa mchango mkubwa katika utoaji wa huduma katika eneo langu la kazi, lakini naweza kusema hali halisi inanikatisha tamaa, japo bado sijakata tamaa bado!
Katika utumishi wa serikali hivi sasa (angalau mahali fulani) kutosema ukweli hasa pale mambo fulani yakienda mrama! Anayesema ukweli anageoka kuwa adui wa karibu kila mtu, hata wale ambao ni wazi kuwa hawanufaiki kwa lolote na uwongo humshangaa mwenye kusema ukweli!
Tunakwenda wapi?