Thamani ya mke

Ni kweli kabisa kuna wanawake Wana raha sana yani unakuta mume anajali mpaka wivuuu
Na wengine sasa ni shida tu
Kweli the world is not fair
Kuna wanaume jamani, hadi unamuonea wivu mwanamke mwenzio. Ila ukikutana na furushi sasa!! Unalia kwa niaba ya mwanamke mwenzio.
 
Shost mmoja alipeleka kesi kwa wakwe, mume hasafishi choo, vilimkera sana, anasema kama hakisafishi basi asikitumie. Conclusion ilifikiwa kila akisafisha mume amlipe.
Hahahaahhahahaahahahahaha duhhhhhhhhhhh nimecheka sana hii point
Halafu wanaume wengine usafi ni mpaka awepo mkewe kinyume na hapo mambo ni vuluvulu
 
Dah.... Mi naona Mnajichanganya tu.... Mke na mume kwa pamoja ndiyo wanatengeneza familia...ni kama vile ukuta na paa katika Nyumba.. .. Mke ana thamani yake kwa nafasi yake na mume vilevile ana thamani yake.... Huwezi kuitwa mke bila kuwepo mume.... wala mume pasipo mke... Tusitishane banaa
 
Kuna wanaume jamani, hadi unamuonea wivu mwanamke mwenzio. Ila ukikutana na furushi sasa!! Unalia kwa niaba ya mwanamke mwenzio.

Uwiii wengine ilimradi tu Wana vipande vitatu basi nao tayari ni wanaume
Na wengine majukumu hawatimizi ila sasa habari ya kuchuchana sasa anakua mpolee mtiifuu
Ila mwambie hakuna hiki hakuna kile atavoreact
 
True mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…