Ndiyo maana nasema binafsi sioni umuhimu wa WATU, bali MTU!
You meant PURSUIT OF HAPPINESS or i got it wrong...Duuhh umenikumbusha moves fulani ya Will Smith
Jina limenitoka kidogo..
Nway my dear we love u and we thank u for every thing u do here
To all JF members I love u 2
Hus nadhani mshkaji amemaanisha kwamba mtu mmoja anaweza kua na maana kuliko watu wengi...kitu ambacho naweza kukubaliana nacho maana mara nyingi watu wanaokuzunguka sio wote wanaokujali au kukutilia maanani!Unaweza ukawa na rundo la ndugu na marafiki ila siku ukiwahitaji haswa unajikuta umesimama mwenyewe au kama una bahati..na mtu mmoja tu pembeni yako!Kwahiyo bora kuona umuhimu wa mtu mmoja anaeona wako kuliko wengi wanaokuchora tu!
You meant PURSUIT OF HAPPINESS or i got it wrong...
Ohooo!!! Yes true dat.I am a Legend!
post of the monthHivi umeshawahi kufikiria siku utakayoamka unajikuta upo peke yako nyumba nzima, njiani hukuti mtu, unafika kwenye kituo cha daladala magari yapo ila hakuna mtu, ofisini napo hukuti mtu.
Unajihisi mpweke unaamua uwapigie simu watu wako ila Simu zinaita hazipokelewi. unafungua JF unakuta threads kibao ila hakuna mtu online.
Unagundua kuwa umeachwa mwenyewe hapo ndipo unaanza kuona umuhimu wa watu.
Umuhimu wa watu huonekana pale tunapowakosa ila hatutakiwi tusubiri hadi tuwakose ndio tuoneshe kuwa wao ni muhimu kwetu.
Wana jf wote ni muhimu kwangu na ninawapenda sana, sitaki kusubiri hadi niwakose ndio mjue mlikuwa muhimu kwangu.
Nawatakia siku njema na mungu awabariki.
post of the month
what strange feelings we have everyday... kweli JF ina raha sana
Hivi husninyo ulikua unawaza nini na wewe kuleta horror imagination siku nzuri kama ya leo?