Thadei Kweka aachiwa huru

Mama ameshajinyea....Amezoea kuonea watanzania, ameogopa kuwa watam-maduro.
 
Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe

P
Kumbe unatambua tuko sirikali ya machinjachinja sasa mbona unasema Tumsamehe?
Muulize Maduro atakuambia mkikki wa Marekani

Nigeria nako moto

Huku kwetu watafika tu
Dini mvurugano ndio itawaleta wasafishe Tang yenye nyika
 
Beberu ni noma....
Ile "Who are you" imepata majibu yake kwa kesi ya Kweka
 
Heshima gani wakati kwa miaka 64 mnapewa misaada. Leo mbwa ninyi mnajifanya eti hamtaki misaada wakati mmenyimwa misaada mafala ninyi.
 
Hapa ndipo mihimili yetu inaposhangaza sana unamkamata mtu unamtwisha kosa kubwa lisilo kuwa na dhamana katikati ya michakato tunamuona tena hyo mtu akiwa mtaani
Katika haya tutaendelea kudharauliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…