Thadei Kweka aachiwa huru

Hao mazafakas wanamuachiaje kirahisi hivyo wakati yule ni mmoja wa wahaini?

Tunataka wamng’ang’anie tuone sasa kama Trump ana uwezo wa kupambana na Samia The Killer anayelindwa na mashehe ubwabwa waliobobea katika kusomea maadui albadri.😂
 
Unaishi nchi inalinda uhai wa watu wake kokote kwa namna yoyote hadi una feel proud. Sisi Watanzania tunahitaji kurudi kwenye misingi! Kwasasa uzalendo ni kuunga mkono serikali ya CCM bila kujali uovu wao! Hapana lazima tujiulize upya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…