TFF Yatoa Rukhsa Klabu Za Ligi Kuu Kusajili Wachezaji 12 Wa Kigeni

Juzi hapa niliwapenyezea za chini ya kapeti. Wengi walinijia Inbox na kuniuliza hizo habari nimezipata wapi ila sikuwajibu.

Tetesi: - Walace Karia akubaliana na ombi la Simba SC kuongeza Idadi ya Wachezaji wa Kigeni kufikia 12

Sasa yametimia! Mabadiliko hayo ya kikanuni yamefanyika ndani ya muda mfupi zaidi ili kukamilisha mataakwa ya Klabu ya Simba baada ya kuonekana kuwa wasingeweza kufanya vyema kwenye michuano ha CAF kwa idadi ndogo ya wachezajia wa kigoni ambayo ni 10. Kilicho changia zaidi ni kuondoka kwa Miqqie & Chama, viongozi wengi wa simba waliona haana uwezo wa kuziba mapengo hayo kwa ufanizi zaidi hivyo njia pekee ni kumvutia waya Rais wa TFF na kumuelekeza abadilishe kanuni mapema ya idadi ya wachezaji wa kigeni kabla ya tarehe 15 ili kuipa nafasi Simba SC ya kuwa na chaguo la wachezaji wengi.
View attachment 1892097

Ikumbukwe, klabu kama ya Yanga SC ilizipata taarifa hizi chini kwa chini ndipo nao wakaanza mchakato wa kufanya mazungumzo na wacheza wengi zaidi. Usije kushangaa pia Yanga SC wakawa na ongezeko la ziadala wachezaji wa kigeni zaidi ya wale 10, hiyo ni kutokana na kupata taarifa hizi kupitia maofisa ndani ya TFF.

Azam FC nao haakuwa na ili waa lile, taarifa walizipata ila hawakuzichukulia kwa uzito mkubwa zaidi kwa kuwa mpango huu uliwajia kipindi ambacho walikuwa wamefunda ausajili wa wachezajai wa kigeni ka kutumia kanuni ileee ya wachezaji 10.

Kibaya zaidi hii taarifa haikuzingatia kuwa kuna timu yingine ambazo nazo zinahitaji kupewa muda wa kusajiri.

1. Kutokuwa na taarifa ka wakati sahihi zimefanya klabu kama Azam FC kutokamilisha idadi ya usajili wa wachezaji wa kigeni kulingana na kanuni mpya ya Karie.

2. Hata kama nao Yanga wakiamua kusajili muda huu basi watafanya hivyo kwa kukurupuka pasi na kua na muda wakutosha.

3. Mabadilko hayo yameazzingatia matakwa ya klabu moja tu hiyo yote ni kwa ajili ya mapenzi ya dhati yanayotanguizwa mbele bila kuzingatia usawa (fair play) kwenye soka.

Kiufupi:- Nilikuwa pale ofisi za TFF ka shughuli binafsi hapo ndipo nikapata wasaa wa kujulishwa hili jambo na chanzo cha kuaminika.

View attachment 1892095


Mabibi & Mabwana Huyo ndio Kiongozi wa Mpira wa Bongo.
Manina zake mbwiga mbwa huyu msomali.
 
Brazil, Italy, Portugal, Germany na nchi nyingi duniani zinaruhusu wachezaji kati ya watano na saba na kila mechi wageni wanaoruhusiwa kucheza ni kati ya watatu hadi watano ili kuwapa nafasi wazawa waongeze viwango. Nchi hizi soka ni biashara kubwa sana na zina mafanikio makubwa katika soka duniani. Tanzania kichwa cha MWENDAWAZIMU TUNAKURUPUKA TU!!!
12 ni wengi sana tunawamaliza vijana wetu bureee
 
Nitajie first 11 ya Senegal nambie inawachezaji wangapi wa ndani
Timu yetuya Taifa brother haina wachezaji wanaocheza nje ya nchi, na ndio tunahitaji uwekezaji wa wachezaji wa ligi yetu ya ndani kwanza

Pili, hatuna management inayoweza kuwatafutia wachezaji timu za nje ya nchi Kwa wingi kama senegal wanavyofanya

Pia Senegal ni moja kati ya zile nchi za francophone, nchi hizo wana access kubwa ya kupeleka wachezaji wao nchi ya Ufaransa kwa wingi sana

Je, ww taifa lako linapeleka wachezaji wapi, hivyo basi kabla ya yote hayo inabidi kama taifa tuanze na kuwajali na Kuwatengenezea mazingira mazuri wachezaji wetu wa ndani
 
Timu yetuya Taifa brother haina wachezaji wanaocheza nje ya nchi, na ndio tunahitaji uwekezaji wa wachezaji wa ligi yetu ya ndani kwanza

Pili, hatuna management inayoweza kuwatafutia wachezaji timu za nje ya nchi Kwa wingi kama senegal wanavyofanya

Pia Senegal ni moja kati ya zile nchi za francophone, nchi hizo wana access kubwa ya kupeleka wachezaji wao nchi ya Ufaransa kwa wingi sana

Je, ww taifa lako linapeleka wachezaji wapi, hivyo basi kabla ya yote hayo inabidi kama taifa tuanze na kuwajali na Kuwatengenezea mazingira mazuri wachezaji wetu wa ndani
Basi kumbe tunatakiwa kuwa na management imara kwanza ili tukuze vipaji harafu wakikosa namba kwa kutokana na wageni kuwa wengi ndo tufikirie kupunguza idadi sasa ila so sahv
 
Basi kumbe tunatakiwa kuwa na management imara kwanza ili tukuze vipaji harafu wakikosa namba kwa kutokana na wageni kuwa wengi ndo tufikirie kupunguza idadi sasa ila so sahv
Inabidi ifanyike mipango ya kuwasaidia wachezaji wa ndani na sio mipango ya kuongeza wachezaji wa kigeni, na nchi zote zinazofanya vzr Afrika hata Club zao zinafanya vizuri pia
 
Inabidi ifanyike mipango ya kuwasaidia wachezaji wa ndani na sio mipango ya kuongeza wachezaji wa kigeni, na nchi zote zinazofanya vzr Afrika hata Club zao zinafanya vizuri pia
Club gan ya Senegal inayo fanya vzr africa? Sawa tuje bongo mchezaji gani kakosa nafasi kisa ujio wa wageni? Au uzembe na uvivu wa wazawa ndo umefanya kuwe na ongezeko la wageni? Mm naona wazawa wajitume watapata nafasi na hao wageni watapungua tu.
 
Club gan ya Senegal inayo fanya vzr africa? Sawa tuje bongo mchezaji gani kakosa nafasi kisa ujio wa wageni? Au uzembe na uvivu wa wazawa ndo umefanya kuwe na ongezeko la wageni? Mm naona wazawa wajitume watapata nafasi na hao wageni watapungua tu.
[/QUOTE Accept or not, as a country we have poor policies regarding our own things in football
 
Kwa hiyo unashauri tukaimarishe timu za vijana na mwaka huu huu hesabu hiyo ivisaidie vilabu vyetu kwenye mashindano ya kimataifa!? Are you serious kweli?
kwahiyo ukisha ongeza hiyo idadi ndo itakufanya ufanye vizuri miaka yote kimataifa? wazungu wamefanikiwa kwa sababu wanatumia akili nyingi kwenye mipango yao,hivyo wameweka long term plan katika mambo yao.jiruhusu kufikiri
 
kwahiyo ukisha ongeza hiyo idadi ndo itakufanya ufanye vizuri miaka yote kimataifa? wazungu wamefanikiwa kwa sababu wanatumia akili nyingi kwenye mipango yao,hivyo wameweka long term plan katika mambo yao.jiruhusu kufikiri
Ungejibu swali langu basi ,vilabu kwa maka huu vikatumie hawa vijana ambao wewe unaamini hawapo kwenye vilabu hivi kweli umetafakari vizuri ?
 
Back
Top Bottom