GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,035
- 126,502
Kingereza cha Karia na Wambura hicho
Mwenye ' Kiingereza ' chake cha ' Kutukuka ' Jamal Malinzi bado yupo ' Segerea '.
Kingereza cha Karia na Wambura hicho
Hata wewe hujahalili andiko lako.Usihararishe kosa ww. Kwanin hawakuhariri(edit)
Hapo vipi??..Kweli nyani haoni kunduleHata wewe hujahalili andiko lako.
Mkuu mbona hata Wewe pia umekosea hapo? Haiandikwi autocorrect kama ulivyoandika Wewe bali inaandikwa auto correct. Kazi ipo hakyanani!
This isnt broken English. Its simple spelling mistake, anybody can do it.
Hata wewe ni majanga matupu siyo " hujahalili" ni " hujahariri" dah kazi kweli kweli!!!Hata wewe hujahalili andiko lako.
Kama wewe tu badala ya Match umeandika Matchm.Nadhani kuna tatizo hapo TFF hii si mara ya kwanza.Mnakumbuka wakati ule wa Ngao ya jamii waliandika "Community Sheild" badala ya Community Shield.Sasa wamekuja na International Frirndly Match nadhani walikusudia kuandika International Friendly Matchm
Ha ha haUsihararishe kosa ww. Kwanin hawakuhariri(edit)
Hata wewe umekosea sio kwelikweli ni kweli kweliHata wewe ni majanga matupu siyo " hujahalili" ni " hujahariri" dah kazi kwelikweli!!!
Shame on u tff
Kama wewe tu badala ya Match umeandika Matchm.




...Vijembe on fleek..