TFF waandika broken English tena

TFF waandika broken English tena

BOMBADIER.jpg
kiingereza na bombardier haviendani
 
HIYO SIO BROKEN WEWE.HIYO NI KUCHANGANYA HERUFI TU.
KWENYE KIBODI R NA E ZIKO KARIBU MNO.NI KOSA LA KAWAIDA KABISA
Waongeze umakini kwa vitu vinavyoenda kusomwa na watu wa nje.
 
TFF kumejaa akina maimuna!!!!! Chezea lugha ya malkia wewe??? Lugha ilikuja kwa ndege na kuondoka na meli.
Afisa Habari wa TFF apelekwe kwa Ras Simba!!!! Ili tuepukane na aibu hii.
 
HIYO SIO BROKEN WEWE.HIYO NI KUCHANGANYA HERUFI TU.
KWENYE KIBODI R NA E ZIKO KARIBU MNO.NI KOSA LA KAWAIDA KABISA
Sasa wangeandika pg mbili si ingekuwa kituko

hayo maneno yanaonekana dhahiri usitete uzembe
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufi mbili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Wewe hayo unayasema au ndiye uliyeandika unajitetea hapa?hill ni kosa ondoa upumbavu wako hapa.
 
SIKU ATAKOYANDIKA PALE BENKI KUWA MAPATO YA MECHI NI SHS 900,000 BADALA YA 9,000,000 NA KUMPA TELLER 9.000.000 NDIO ATAJUA KOSA DOGO LINAWEZA LIKAMLETEA SHIDA KUBWA
 
Hivi hata hao waingereza huwa hawakosei uandishi?

Maana wabongo ukiandika kiingereza basi usikosee uandishi utaambiwa hujui kiingereza.
Just a typing error!! Wala siyo broken english
 
Hatari sana
Sawa kabisa lakini kosa la numeric (1,2,3,4) ni tofauti na kosa la character (a,b,c,d) kwa maana ya consequences.Unaona hapo TFF tumegundua kosa lakini 900,000 huwezi kugundua haraka
UTAGUNDUA SIO KOSA LA KAWAIDA PALE BENKI BADALA KUANDIKA 90,000 ukaandika 900,000 kosa dogo tu si ni sifuri moja tu
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufi mbili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Hahahahaa unatetea ujinga na ww, kwanini asisome kabla ya kupost ana haraka gani
 
Mkuu kwema??
Nimejaribu kuangalia hiyo mistake, nachoona kwenye kuweka E wao wameweka R,
Hii sio broken bali nadhani ni ukaribu wa hizi herufiili (E&R) kwenye Keyboard,
Pengine alitaka kuandika E akajikuta anabonyeza R bahati mbaya,
Nimewaza tu lakini, sina uhakika
Uko karibu sana na uhalisia ni typing error key ktk keyboard imemsaliti mchapaji.
 
Hahahahaa unatetea ujinga na ww, kwanini asisome kabla ya kupost ana haraka gani
Sitetei kosa,
Nimesema hiyo sio kosa la Broken English, linaweza kua kosa jingine.
Kosa lipo, ila sio kosa la Broken English
 
Back
Top Bottom