SahihiKwa wanaoangalia mechi ya Tabora utd vs Namungo watakubaliana na mimi. Hii mechi ni kama inachezwa kwenye jaruba la mpunga.
Mbaya zaidi mashabiki wa timu mwenyeji hamna. Sasa si bora ligi ichezwe kwenye viwanja bora vinne tu.
Inaonyesha mvua imenyesha, kwa hiyo ni full matopeUwanja mbovu sana ama nyadi ndegu sana shida nini ? Tuekezeni tuelewee
Umeongea hoja nzuri sana kwenye aya ya mwisho... Ni bora ligi ikachezwa Dar tu.. ikizidi sana Dodoma na TangaKwa wanaoangalia mechi ya Tabora utd vs Namungo watakubaliana na mimi. Hii mechi ni kama inachezwa kwenye jaruba la mpunga.
Mbaya zaidi mashabiki wa timu mwenyeji hamna. Sasa si bora ligi ichezwe kwenye viwanja bora vinne tu.
Watakuambia timu zingine zitakosa mashabiki wakeUmeongea hoja nzuri sana kwenye aya ya mwisho... Ni bora ligi ikachezwa Dar tu.. ikizidi sana Dodoma na Tanga
Ama wafanye hivi, warekebishe jamuhuri Morogoro (kwa kuwaomba ccm), kisha mkwakwani Tanga, na Jamuhuri Dodoma, tutumie hiyo mikoa mitatu kwa ligi yote
Maana hawajui majukumu yao
Mashabiki gani..?? Na wakati hizo zikiwa kwao, uwanjani hata mashabiki 100 hupati