Kwani barakoa inazuia ugonjwa gani ili tuwashauli na wazungu?Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.Tumewasikia kanisa katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake".TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.
Sawa, basi na wewe usivaeMbona waumini wao hawavai?
Barakoa, chanjo wala vidonge havizuii ugonjwa wowote, ni maombi tu na nyungu.Kwani barakoa inazuia ugonjwa gani ili tuwashauli na wazungu?
Mtoa tarifa wa katoliki naye hakuwa hata na BarakoaLeo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.Tumewasikia kanisa katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake".TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.
Hao wanafikiria kupiga PESA tu hawana utu huo niWALAFILeo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.Tumewasikia kanisa katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake".TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.
Hapa unataka kuleta vita dhidi ya TFF na CatholicLeo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.Tumewasikia kanisa katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake".TFF himizeni wanaokwenda kuangalia mpira uwanjani wavae barakoa kwa kuanzia na ikiwezekana "social distancing'
Kauli yenu moja inaweza kuokoa uhai wa watu wengi.
Sidhani kama barakoa inasaidia kwenye msongamano kama huo. Watu wamebanana wanagusana na kutoka jasho.Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa.Tumewasikia kanisa katoliki na ni wajibu wa kila mtu 'kuchunga abiria wake"...
Ujinga wa mwafrika!!! Kama tatizo kwako halijafika huna haja ya kuwa concerned.Kwa upumbavu huu kama wa kwako ndio uliosababisha HIV ikasambaa kwa haraka.Hivi kwanini unaloliona ni tatizo kwako mnataka liwe tatizo kwa kila mtu!?... Wewe waambie ndugu zako wavae barakoa,wakae ndani wasiende popote na humo ndani wazingatie social distance, wakapewe chanjo Kenya zimeshaletwa na wakirudi wakae ndani wakisubiri Corona iishe mwaka 2030. Watanzania wengine mtuache tuendelee na maisha yetu. Mnatuchosha na story za COVID.
Umeulizwa barakoa inazuia ugonjwa gani? Ili kama unafahamu ugonjwa unaozuiwa na barakoa basi, tuwapelekee na wazungu wapone. Sasa wewe unaanza kusema hospitali eti zifungwe ilitumwombe Mungu, kwani unafikiri Mungu hawezi kiituu?? Were jibu swali, uliloulizwa.Barakoa, chanjo wala vidonge havizuii ugonjwa wowote, ni maombi tu na nyungu...
Kama mwenye nyumba hataki unadhani wapangaji wataanzaje?Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa...
Ndiyo maana wanakufa,unauliza ndevu kwa Osama?Mbona waumini wao hawavai?
Jibu zuri sana, ndiyo maana tunakufa kama kuku wa kizunguSawa, basi na wewe usivae
Jibu zuri kwa MATAGABarakoa, chanjo wala vidonge havizuii ugonjwa wowote, ni maombi tu na nyungu...
Na wewe wacha kuvaa maana hatukulazimishi ila utalazimishwa na mapafu yatakapo simama kufanyakazi na tutakuchangia kukurudisha kwenu koromitjeMtoa tarifa wa katoliki naye hakuwa hata na Barakoa
Hasa yule msomaliHao wanafikiria kupiga PESA tu hawana utu huo niWALAFI
Yule msomali anavyopenda fweeeza anaweza akaingia vitaniHapa unataka kuleta vita dhidi ya TFF na Catholic
Matokeo yakoje?Leo nimepata wasaa wa kuangalia mechi ya Azam na Kagera Sugar.Waliovaa barakoa ni kama hakuna kabisa...