Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hapana mpenziMbona mikono umeiweka juu kichwan..Something wrong?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mpenziMbona mikono umeiweka juu kichwan..Something wrong?
Na muda umebaki robo saa na ni mtihani wa carry over.
Uongo unanijiaga tu automatically sijawahi kufeli kujiteteaDaah.. very creative!!

Kama ME hajapata sabb ya kukutilia mashaka, anadanganyika kirahisi tuu
Hujamwelewa mtoa uzimambo yenu yakuzungu hayo mnayoyapenda unamlazimisha mwenzako kufanya kitu asichotaka alafu saiz unafeel guilt!
Hamna kawaida tu mkuu.kuna watu wana uwezo mdg sana hadi unajiuliza ni binadamu ama yaani ujumbe mistari mi 5 eti hawajaelewa na wanaomba ufafanuzi.z.
ujumbe wenyewe uko kwa kiswahili hahaahaha
"Kintompyo" ndo nini mkuu!Aliniambia hayupo tayari kubanjuana mpaka nimuowe na kwamba yupo sealed. (Nikasema sawa ila kimoyo moyo nikasema tutajua mbele ya safari tu)
Siku chache baadae akakosea sms ikaja kwangu alikuwa anamtumia jamaa yake.
"Mi sikubali tuoane bila kujuana performance yako je kama mbovu?!"
"Huo ndio msimamo wangu Steve kama huwezi ku do basi"
Nilipaniki 200% na kufreez juu nikajisemea huyu ngoja nilale kwanza.
Badae akastuka eti akaniuliza bebi kuna sms mdago wangu kaikosea imekuja kwako...nikamwambia sms gani mbona mi sijaona sms yeyote zaidi ya g9t. (Nikaifuta ile alokosea halafu nika screen shot nikamtumia kwa wasap akaamini sijaona)
Kilichofuata ni mipango ya kumsogeza ili nimkamue.
Siku alisema nakuja kukuona bebi ila plz hatutafanya ili tulinde ahadi yetu...nikamwambia njoo tu mamy.
Nikaenda kwa anko akanipa kintopyo nikatafuna kabisa kama viwili hivi.
Alivokuja nilimpikia akala akashiba nikaweka movie ya Spartacus mbona aliomba mchezo mwenyewe....
Nilikuta hakuna cha bikra wala nini ila nilipiga show mpaka akasema duuuh una miaka mingapi hujakutana na mbunye.
Nikawa nakula mzigo tu mpaka miezi 8 hasira zilipoisha nikamwambia our relationship is no longer working...akalia hapo kama kawaida yao aah...mi nikampotezea.
Saivi yupo available mda wowote nikitaka kupasha kiporo mimi tu. Kintompyo sisahaugi kutafuna ili nisiharibu rekodi kila nikimhitaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anamtesaje?Yaani unamtesa mtoto kwa hasira zako za kindezi,kwani mwanamke ni huyo tu duniania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha,
Are you jealous or sth mdogo wangu??
Kuna kama kiazi kilaini kama sponji ukimenya ukatafuna kinatoa maji mengi sana ladha yake sio maalum kama maji ya nazi tu...vinapatikana porini baadhi ya mikoa kama mikoa ya kati.Samahani mkuu hiyo kintopyo ni nini, I wanna learn sina matumizi nayo hata.!!
Kumbe...sawa.Mkuu hiyo msg hakukosea kukutumia, aliamua kukutumia makusudi baada ya kukuona humuombi tunda kwa lazima.
Siunajua baadhi ya mademu wanasema sitaki mdomoni lakini kwa vitendo anakuonyesha anataka so wewe ulishindwa kumsoma ikabidi atumie njia za kijasusi kukustua kutoka usingizini