Text ilitaka kuniua

Text ilitaka kuniua

Naona ni mimi tu ndio sijaelewa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1
 
Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1
Ahsante sana bibie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mambo yenu yakuzungu hayo mnayoyapenda unamlazimisha mwenzako kufanya kitu asichotaka alafu saiz unafeel guilt!
Soma vizuri hujamwelewa....

Si yeye..Yeye alikuwa kwenye gari akiwa Safarini.Hiyo ni sms ilikosewa ikaenda kwake.
 
Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1
dah, umefafanua vizur sn..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1

Unavyojua kuelezea sasa, kama wale Penguins wa Madagascar. Wewe inaonekana mtu wa sound sana mtaani 🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom