Text ilitaka kuniua

Text ilitaka kuniua

Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1
mungu akubariki sana kwa huo moyo mkunjufu!.
 
Mtoa mada akiwa safarini, msg ya mahabuba wake, kipenzi chake, mkewe mtarajiwa inaingia, Na huyo mahabuba inaonekana hiyo text alikuwa anamtumia mwanaume mwingine kuwa 'anaenda ghetto, ila asimlazimishe kufanyaje fanyaje sijui' unluckily ujumbe ukamuendea mtoa mada.!

Mtoa mada, akataka kujitoa uhai ila akakaza kiume ndiyo mpaka Leo tupo naye hapa anatusimulia mkasa wake.!

Khantwe & toughlendon_1
Ooohh Sasa nimeelewa... Shukraani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna watu wana uwezo mdg sana hadi unajiuliza ni binadamu ama yaani ujumbe mistari mi 5 eti hawajaelewa na wanaomba ufafanuzi.z.

ujumbe wenyewe uko kwa kiswahili hahaahaha
Hongera wewe fast learner uliyeweza kuelewa at first place. Wengine mpaka tuliporudia kusoma ndio tukaelewa akimaanishacho mtoa mada.
All in all We are sailing in the same boat right now with the thread..
 
Mtakufa vijana na mambo yenu yakujiaminisha kuwa papuchi yako peke yako. Papuchi ambayo unatakiwa amini ni yako peke yako ni ile ambayo umeikuga bikra wakati u aoa vinginevyo kaa ukijua mnavegeda wengi.
Fikra potofu, nshawai toa bikra na kua nae kwenye mahusiano serious had mzaz wangu akawa anamfahamu kumbe kuna wenzangu wa3 wanakula mzigo inshort hawa viumbe hata uishi nao kiakili haisaidii we jua tu sio chako peke ako zamu yako ikifika piga mech kama hamna kesho basi.
 
Aliniambia hayupo tayari kubanjuana mpaka nimuowe na kwamba yupo sealed. (Nikasema sawa ila kimoyo moyo nikasema tutajua mbele ya safari tu)

Siku chache baadae akakosea sms ikaja kwangu alikuwa anamtumia jamaa yake.

"Mi sikubali tuoane bila kujuana performance yako je kama mbovu?!"
"Huo ndio msimamo wangu Steve kama huwezi ku do basi"

Nilipaniki 200% na kufreez juu nikajisemea huyu ngoja nilale kwanza.
Badae akastuka eti akaniuliza bebi kuna sms mdago wangu kaikosea imekuja kwako...nikamwambia sms gani mbona mi sijaona sms yeyote zaidi ya g9t. (Nikaifuta ile alokosea halafu nika screen shot nikamtumia kwa wasap akaamini sijaona)

Kilichofuata ni mipango ya kumsogeza ili nimkamue.
Siku alisema nakuja kukuona bebi ila plz hatutafanya ili tulinde ahadi yetu...nikamwambia njoo tu mamy.
Nikaenda kwa anko akanipa kintopyo nikatafuna kabisa kama viwili hivi.

Alivokuja nilimpikia akala akashiba nikaweka movie ya Spartacus mbona aliomba mchezo mwenyewe....
Nilikuta hakuna cha bikra wala nini ila nilipiga show mpaka akasema duuuh una miaka mingapi hujakutana na mbunye.

Nikawa nakula mzigo tu mpaka miezi 8 hasira zilipoisha nikamwambia our relationship is no longer working...akalia hapo kama kawaida yao aah...mi nikampotezea.

Saivi yupo available mda wowote nikitaka kupasha kiporo mimi tu. Kintompyo sisahaugi kutafuna ili nisiharibu rekodi kila nikimhitaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh.. mkuu, kintompyo ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom