Tetesi za Watu Maarufu

Ni kweli alishika pua. Ilikuwa ni moja ya vijitabia vyake vya ajabu. Jamaa alikuwa na a lot of strange habits! But hakuna aliye na ushahidi wa kumsikia akisema maneno hayo ya kunuka

Hilo la kushika pua upande wake ulitoa maelezo kuwa MJ alikuwa na tatizo lijulikanalo kama NERVOUS TWITCH !!!!
 
Mohamed Ally alipigana na bondia Kelly Norton,huyu jamaa alikuwa na nguvu sana,ikabidi mkono mmoja ufungwe nyororo..alivyozidiwa na Ally ikabidi atumie ule mkono mwingine,alilusha konde Ally alilikwepa na kwenda kukonga nguzo za ulingo na kupinda vibaya sana...ikabidi nitafute huo mkondo nikakuta fiksi tupu...zamani bana..
 
Michael Jackson hakuwahi kusema Dar inanuka
alikuwa anashika pua ndo watu wakatafsiri hivyo

uongo mwingine ni kuwa Iddi Amini alikuwa hajui kiingereza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom