Tetesi: Rostam kuwa Waziri wa Fedha

Tetesi: Rostam kuwa Waziri wa Fedha

Sasa unauliza jimbo atakalogombea kwani bwn muongo na mbatia na waziri wa fedhabwabsasa wanatokajimbo gani?
 
Jamani hii nchi ya UKAWA hizo zingine story tu.:msela:
 
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa

These are the thread which need to be shredded

No substance, poor speculations and quite a dumb a$$ tetesi
 
Akiwa waziri wa fedha uchumi wa nchi utapaa.. ni graduates wa Havard huyo

Na Chenge ni Graduate wa wapi?mbona tunafahamu kuwa hakuna kipindi ambacho Nchi imeingia mikataba ya hovyo kabisa kama wakati wa u-AG wa Chenge.
 
Mkuu naweka tu sawa, waziri lazima awe Mbunge haijalishi ameupataje ila waziri mkuu ni lazima awe Mbunge Wa kuchaguliwa na wananchi

Kuna nafasi kumi za wabunge wa rais, prof JK alipewa RA atakuwa waziri. Ukubali ukatae kama utampa EL urais RA waziri. Mtauzwa mpk nyie ngeleja madini
 
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa
Team mdmu mnahaha sana lowasa ndye rais ajaye kwanza wahamiaji haramu hatuwatak kama mleta mada
 
If you will believe this, then you will believe anything
 
Naomba mungu anipe umri na afya nije nione....
 
Hizi tetesi hazina mashiko nadhani kabla ya kuongelea uwaziri ni vizuri ukaanza na jimbo atakalogombea maana kwa katiba yetu lazima awe mbunge kwanza. Anza upya

Kuna wabunge wa majimbo na wale wa kuteuliwa (nafasi 10 za rais)!
Hata hivyo, Rostam alishatangaza kuachana na siasa uchwara na za maji taka ambazo ndizo zinazotawala Tanzania nyakati hizi. Siyo rahisi kujihusisha moja kwa moja, labda atashiriki serikalini remotely!
 
Hakusitaafu ila alijiondoa kwa aibu ya kuumbuliwa kama mwenzake lowasa. Sasa wameungana mafisadi wote, wanataka ikulu!. Na uzuri hata aliyeko pale ni mwenzaoj au tusema kada wao na walishakubaliana kabla kwamba aanze yeye na baada yake, afuate huyu. Kazi ya kada alilyeko ikulu sasa naye ameshaanza.

Kwanza ni kuwasafisha wote waonekane hawakufanya makosa.

Pili kuptisha sheria za kuzuia watu kupashana habari za maovu ha genge hili.

Tatu kufungia vyombo vya habari ili wakati wa kampeni, watu wasikilize sumu watakayolishwa ya kuyasafisha mafisadi. Pasiwe na taarifa zingine zaidi ya zile za ccm na genge lao la mafisadi.

Nne ni kuhakikisha ulinzi wa kura na uchaguzi unafanywa na policcm kwa kushirikiana na green guard tu ili wakimbiaji na masanduku ya kura nawengineo wafanye bila kpingaminzi.

Tano mfumo wa uandikishwaji wa wapiga kura usitoe mwanya mkubwa kwa vijana ikiwa ni pamoja na kufunga vyuo vyote wakati wa uchaguzi ili wanachuo wasipige kura.

Sita Mgombea atakayetangazwa na serikali ndiye yule hakuna kuhoji wala kushangaa kwa sababu hakuna mtu mwingine ana ruhusa ya kuwa na taarifa sahihi nje ya ccm. Kufanya vile ni kujenga jinai. Kwa hiyo hata kama watakuwa wameshindwa, wataitwa kuapishwa kama iliyokuwa kwenye serikali za mitaa na hapo hakuna Mtazania atakuwa na uhuru wa kupinga kwa kuwa kufanya hivyo ni kutengeneza jinai.

TEAM FISADI NI MTANDAO MPANA AMBAO HATA PINDA ALISEMA MAFISADI WAKIGUSWA.. NCHI ITATETEMEKA. SASA WAMEONGOZANA KWENDA IKULU NA HAWATAKIWI KUGUSWA NA SERIKALI KWA MUJIBU WA PINDA.


Lakini huyu si alishastaafu siasa zag bongo???? Nadhani lengo lake ni kumsapoti tushikaji kama walivyofanya kwa ......
 
Hizi tetesi hazina mashiko nadhani kabla ya kuongelea uwaziri ni vizuri ukaanza na jimbo atakalogombea maana kwa katiba yetu lazima awe mbunge kwanza. Anza upya

Kwani Muhongo aligombea na kushinda jimbo gani? tumia kichwa kufikiri dogo
 
Kwani Muhongo aligombea na kushinda jimbo gani? tumia kichwa kufikiri dogo

Labda nitumie cha chini sasa maana awali nilitumia cha juu. Muusika alishatangaza hadharani kustaafu siasa uchwara za bongo hapo anamsapoti tu rafiki yake kama wewe ulivyokuwa bestman/woman kwenye harusi ya friend wako
 
Back
Top Bottom