Tetesi: Rostam kuwa Waziri wa Fedha

Tetesi: Rostam kuwa Waziri wa Fedha

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,361
Reaction score
139,155
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa
 
unnamed.jpg

Na huyu jamaa atapewa wizara gani? au ya michezo coz naona anachukua uzoefu kwa mkongwe pele wa brazil.
 
Duh Lowassa ni hatari kuliko Kisukari. Bora uumwe au uugue kisukari kuliko kuongozwa na Lowassa
 
Akiwa waziri wa fedha uchumi wa nchi utapaa.. ni graduates wa Havard huyo
 
Pesa kitu cha ajabu kweli yaani hadi wewe unaandika na kusoma pumba za hawa team mamvi
 
rostam kamfadhili sana Lowasa, lowasa anaposema fedha anapewa na rafiki zake mmoja wao ni Rostam, lowasa akiwa rais rostam atakuwa tajiri namba moja Afrika kila tenda ya serikali atakuwa anapewa yeye, atapewa hadi tenda za halmashauri.
 
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa

Hizi tetesi hazina mashiko nadhani kabla ya kuongelea uwaziri ni vizuri ukaanza na jimbo atakalogombea maana kwa katiba yetu lazima awe mbunge kwanza. Anza upya
 
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa

Fisi Rostam Aziz ana kabidhiwa bucha
 
Hizi tetesi hazina mashiko nadhani kabla ya kuongelea uwaziri ni vizuri ukaanza na jimbo atakalogombea maana kwa katiba yetu lazima awe mbunge kwanza. Anza upya

Mkuu naweka tu sawa, waziri lazima awe Mbunge haijalishi ameupataje ila waziri mkuu ni lazima awe Mbunge Wa kuchaguliwa na wananchi
 
Hivi kwa akili yako mleta uzi Rostam ana shida na hiyo nafasi?
Yeye ndio kashika remote, ana drive mpaka rais eti awe waziri hana shida hiyo huyo jamaa
Yap!
Tuko pamoja, Rostam Abdulrasul Aziz is a kingsmaker.
Yeye ndiyo anaweka serikali madarakani, hana shida na cheyo.

Amejaribu kufanya hivyo Kenya bahati mbaya mtu wake Odinga akafeli OKW BOBAN SUNZU you should note this.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom