Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,361
- 139,155
Wakuu hizi ni tetesi katika kambi ngumu ya Lowasa.Inasemekana Rostam Azizi ameandaliwa kuwa waziri wa fedha.Tetesi hizi zinazuka kutokana na usiri uliopo katika safu ya Cabinet ya Lowasa.Inetonywa kuwa Rostam ni mfanyabiashara na mchumi hivyo wizara hiyo inamfaa