Wana jf leo hapa Arusha nimesikia watu wakiongelea kukamatwa kwa watu kadhaa waliohusika na mauaji ya mwenyekiti wa chadema usa river pia panga lililotumika limekutwa ndani ya choo kwa mmoja Wa watumiwa naomba mwenye taarifa kamili atujuze.
Naomba kujuzwa maana ya M4C
Naomba kujuzwa maana ya M4C
Naomba kujuzwa maana ya M4C
Eti tuna amani na utulivu! upuuzi mtupu huu! Kiongozi yeyote atakaeimba mbele yangu wimbo huu wa amani na utulivu nitamzaba kofi kama mwinyi alivyopigwa kwenye maulidi
Maana yake ni Movement for Change. Lakini kwanini ulikuwa hujui toka awali?Naomba kujuzwa maana ya M4C
Naomba kujuzwa maana ya M4C
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji
mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa
matumizi.
Umeelewa?
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji
mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa
matumizi.
Umeelewa?
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji
mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa
matumizi.
Umeelewa?
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji
mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa
matumizi.
Umeelewa?