Tetesi: Kupatikana kwa wauaji

Tetesi: Kupatikana kwa wauaji

Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji

mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa

matumizi.

Umeelewa?

Ndugu muuliza swali akili ni nyele na kila mtu anazake, na wewe tumia zako. Tafsiri ya hapo juu si sahihi, umepotoshwa tene sana mtu wangu. Kama tafsiri ingekuwa hiyo hapo juu ingeandikwa sahihi basi ingekuwa hivi: "UMUWKKPW"
 
Inaonekana gamba limekubana hadi oksijeni haifiki kwenye ubongo! Nakushauri kajisaidie haja kubwa mwili upunguze tensheni labda ubongo utakuwa nomo tena!

hapa yanaongelewa mambo ya maana, naona huyu mwanagamba anataka tupoteze lengo! Anataka tukasirike, lengo hapa ni tetesi za wauwaji wa mwenyekiti wa cdm Usa River!
 
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji

mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa

matumizi.

Umeelewa?
Mkuu unajidhalilisha sana kwa comments zako,comments zako zinaonyesha kabisa uko hovyo
 
hapa yanaongelewa mambo ya maana, naona huyu mwanagamba anataka tupoteze lengo! Anataka tukasirike, lengo hapa ni tetesi za wauwaji wa mwenyekiti wa cdm Usa River!


Kweli mkuu, ila huyu jamaa huwa anakera mno hadi mtu unalazimika kutoka nje ya mada. Ningefurahi kama ningefahamu nyumbani kwake.
 
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji

mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa

matumizi.

Umeelewa?
MS acha kupotosha tafsiri. umeambiwa nini maana ya M4C halafu unakurupuka kama malaya we namna gani bana?
 
DAMU YA KADA WA CHADEMA KUFUNUA CHUNGU CHENYE UOZO WA WAFUGAJI MAGAIDI WANAOANZA KUTAMBULISHA 'BEHEADING' KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI

Mwanangu, you are a wiseman.

Wengine usione tumekwepa sana kuliongelea swala hili la kuchinjwa kwa kada wa pili wa CHADEMA mara tu baada ya uchaguzi mdogo; chini ya bahari kuna mazito yanayoendelea juu ya hili - tulieni!!!

Kamuulize
January Makamba kwamba kile kikao cha wanausalama pale shule ya msingi Usa River wenzetu wamepanga kunyonga wangapi kama walivyofanya Igunga kwa maagizo ya huyu kijana mwenzetu?

CHADEMA, swala hili la BEHEADING ambalo ni tukio la pili nchini ambalo asili yake inajulikana kuwa ni la kule Middle East hivi sasa inafuatiliwa kwa karibu kuliko kawaida na taasisi nyeti za kimataifa; hako ka-uchunguzi ka polisi ya CCM ni cha mtoto to.

Hakika mauaji ya Kamanda Mbwambo kamechangia kudhibitisha madai mazito tena nyeti mno kwamba kuna ka-harufu ya MAGAIDI ukanda wa Pwani mwa-Afrika Mashariki hivyo dots lazima zitaunganishwa mbali zaidi ya tunachokiona kama ka-uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki tu.


Usalama wa ccm siku hizi wameacha kuwapiga risasi watu kisongoni kama ile ya msitu wa pande.
badala yake wanatumia mapanga kuwakata shingo kwa nyuma.
 
Hayatakwisha hadi aliyewatuma wauaji kupatikana na kutajwa hadharani... tetesi ni kwamba wanatumwa na mtu mwenye pesa zake na anafahamika vizuri tu na kuheshimika

ILIVYOANDIKWA........
 
Usalama wa ccm siku hizi wameacha kuwapiga risasi watu kisongoni kama ile ya msitu wa pande.
badala yake wanatumia mapanga kuwakata shingo kwa nyuma.

Mungi usinikumbushe ya msitu wa pande, yule hakimu aliyemwachia Zombe ndiye huyu tena kaniliza leo alipomwachia Makongoro mahanga huyu ni refa wa wauwaji, refa wa wabaka demokrasia, laana!
 
DAMU YA KADA WA CHADEMA KUFUNUA CHUNGU CHENYE UOZO WA WAFUGAJI MAGAIDI WANAOANZA KUTAMBULISHA 'BEHEADING' KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI

Mwanangu, you are a wiseman.

Wengine usione tumekwepa sana kuliongelea swala hili la kuchinjwa kwa kada wa pili wa CHADEMA mara tu baada ya uchaguzi mdogo; chini ya bahari kuna mazito yanayoendelea juu ya hili - tulieni!!!

Kamuulize
January Makamba kwamba kile kikao cha wanausalama pale shule ya msingi Usa River wenzetu wamepanga kunyonga wangapi kama walivyofanya Igunga kwa maagizo ya huyu kijana mwenzetu?

CHADEMA, swala hili la BEHEADING ambalo ni tukio la pili nchini ambalo asili yake inajulikana kuwa ni la kule Middle East hivi sasa inafuatiliwa kwa karibu kuliko kawaida na taasisi nyeti za kimataifa; hako ka-uchunguzi ka polisi ya CCM ni cha mtoto to.

Hakika mauaji ya Kamanda Mbwambo kamechangia kudhibitisha madai mazito tena nyeti mno kwamba kuna ka-harufu ya MAGAIDI ukanda wa Pwani mwa-Afrika Mashariki hivyo dots lazima zitaunganishwa mbali zaidi ya tunachokiona kama ka-uchaguzi wa Igunga na Arumeru Mashariki tu.
January Makamba? mhh!!! ngoja nisubiri.
 
Nafarijiwa na kauli ya Slaa alisema waacheni waniue kwani wao hawatakufa? hakuna atakayedumu milele, na wengi wao hata miaka 20 mbele ni wasiwasi watakuwa wamekwisha wote. Wajiulize je vizazi vyao vtakuwa salama baada ya wao kuiacha hii dunia? jibu wanalo.
 
quote_icon.png
By Tume ya katiba

Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji

mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa

matumizi.

Umeelewa?
Hakuna njia ndugu yangu, upepo wa mageuzi unavuma na hakuna wa kuuzuia wewe utabaki na madai ya mapato na matumizi ambayo kwa hakika yanatumika ipasavyo kuliko yanavyotumika kwenye serikali yetu. Jiulize leo Tanzania CC ya CCM imekuwa na nguvu kuliko bunge linalotambulika kikatiba, eti malalamiko ya wabunge na wananchi yanapelekwa CC, inaonekana sasa tuna mihimili minne nchi hii na yote hiyo inasababishwa na hilo linalokusumbua (accountability)
 
Ni utaratibu mpya uliobuniwa na baadhi ya watu katika kuchangisha pesa za walalahoi, utaratibu huo hauruhusu kuhoji

mapato wala matumizi ya hizo pesa. Kama huamini hoji ni kiasi gani kilipatikana kwenye uchaguzi wa arumeru na mchanganuo wa

matumizi.

Umeelewa?

Duh ulichoandika na ID yako..!
 
Naomba kujuzwa maana ya M4C

NI movement for change. hii ni program iliyozinduliwa na CHADEMA Mkoa wa Arusha kipindi cha Kampeni za Arumeru lengo ni kuhakikisha CHADEMA iNAKUWA mkombozi wa kweli kwa Mtanzania kwa kutoa elimu ya uraia na katiba na wenye mambo mengine ya ziada kwenye movement for change
 
Kama wanadhani wataishi milele wanakosea. Nina uhakika hawana maisha marefu kama walitumwa maana aliewatuma atawatuma na wengine wawaue. Ni upuuzi tu kufikiri kuwa kumuua mtu umemkomesha. Wanaitesa tu familia kwa sababu mtu aliyekufa hawezi kupata maumivu wanayodhani kuwa anapata.
 
Back
Top Bottom