Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
Mashabiki wa soka la bongo watakuwa wanamkumbuka mchezaji huyu, alicheza na kina Mgunda, Razack Yusuph, kifupi enzi za kina Tenga.
Mwaka 1994 alikamatwa nchini Malawi kosa ikiwa ni kukutwa na madawa ya kulevya, kwa miaka 17 amekaa mahabusu na wiki jana kaachiwa, kadandia lori na kaingia DSM juzii.
Mzigo aliokamatwa nao ulikuwa wa mfanyabiashara maarufu (sasa marehemu) mke wa mfanyabiashara huyu aliwahi kuwa mwanasiasa.
Nimeiweka kama tetesi, mwenye kujua zaidi kuhusu nguli huyu wa soka anaweza kuchangia zaidi :juggle:
Mwaka 1994 alikamatwa nchini Malawi kosa ikiwa ni kukutwa na madawa ya kulevya, kwa miaka 17 amekaa mahabusu na wiki jana kaachiwa, kadandia lori na kaingia DSM juzii.
Mzigo aliokamatwa nao ulikuwa wa mfanyabiashara maarufu (sasa marehemu) mke wa mfanyabiashara huyu aliwahi kuwa mwanasiasa.
Nimeiweka kama tetesi, mwenye kujua zaidi kuhusu nguli huyu wa soka anaweza kuchangia zaidi :juggle: