halafu wanasoka wa Tanzania sijui ni laana au kitu gani,mpira ukiisha ni wachache sana utakuta wana kazi za maana wengi wao wanaishia kwenye ujambazi,ushoga,ulevi mavi au uuzaji wa madawa ya kulevya kama si utumiaji!
Hivi hakuna polisi wa JF? Wapeleke haya madai Interpol.Pasco!
Mod wakishindwa kuitoa, itoe wewe. Hakuna nia ya kumchafua mtu hapa, ninaongelea Makuruzo ambaye alishiriki kubeba mzigo wa vibosile na akakamatwa Malawi akitokea SA.
Huo u-shapu wa wanamichezo hakuna anayeubishia, ni kama uwepo wa rushwa katika jeshi la polisi sio Tz pekee.
Kuhusu laana isiyofutika: Kumtumikisha mtu kwa kazi ya hatari na baadae kumtosa baada ya kukamatwa, kumuacha mkewe kukaa miaka 17 akiwa na nadhiri ya ndoa, kutoshuhudia ndoa za binti zako, kwako hii si laana. Vita ya madawa ya kulevya ni ngumu na haikosi watetezi