TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 373
Tetesi ina yote, ila kwa hilo nadiriki kuchagua la UKWELI, ninayemsemea ni huyu mwenye mabinti wawili, wanaishi Tanga, ni suala la tetesi tu, fuatilia hapa na utaujua ukweli,
Hivi ukiandikiwa '1990s huwa unaelea nini kichwani kwako! Unajua ninaposema enzi za huyu mwenye red namaanisha kipindi gani
Hawa ni baadhi ya waliokutana na HUSSEIN RUGA MWAKURUZO timu ya Taifa....Mkuu Obi hizo picha ni za Hussein...moja yuko pekee yake na nyingine na family yake na hii hapa nimekuongeza wakati akiwa timu ya Taifa 1987....
Waliosimama toka kushoto ni
Michael John
John Makelele
Hussein Ruga Mwakuruzo
Michael Kidilu
Khalfan Ngassa
mavumbi Omar
Abeid Mziba
mstari wa kati kutoka kushoto
Issa Athumani Mgaya
Yasin Abuu Napil
said John
Edgar Fongo
Raphael Paul
Sanifu Lazaro
mstari wa chini toka kusho ni makipa
sahau Kambi
John Bosco