Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wakuu!!leo nilikua najaribu kuangalia matokeo ya hawa wadogo zetu wa kidato cha 6,nimeona kwenye zile shule maarufu kama marian girls,mzumbe,tabora boys,galanos,umbwe,tosamaganga,ilboru nk hakuna mwanafunzi hata mmoja aliyethubutu kupata ''A''za hayo masomo mawili hapo juu.tatizo ni nin,maswali yalitoka sayari nyingne au ndo ile sera ya ccm ya kupunguza mangwini inatekelezwa kiujanja ili wapate walimu wakutosha?