donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Airtel money hutumiwa na wenye MAGOVI ndo maana kauli yao ni moja "HAKATWI MTU HAPA" wapo kwenye mgomo wa kutahiriwa!.
Kwani ungekaa kimya ukasoma thread za wengine ungepungukiwa nini?
Kwani ungekaa kimya nakuto comment ungepungukiwa nini?
Kijana najaribu kukueleza na kukumbusha kwamba ni vizuri siku nyingine kabla haujaweka thread yako basi uwe umechukua mda hata kidogo tu kufikiria!
Airtel money hutumiwa na wenye MAGOVI ndo maana kauli yao ni moja "HAKATWI MTU HAPA" wapo kwenye mgomo wa kutahiriwa!.