Nimepata habari ambazo zinatakiwa zithibitishwe kuwa AICC--Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha
Arusha--kilishtakiwa na aliekuwa mwajiriwa wake aitwae Dr Makando na Makando ameshinda kesi
ambapo inatakiwa alipwe na AICC takribani 200 milioni. AICC inasemekana imekuwa ikisuasua
kumlipa. Matokeo yake Akanuti za AICC zimekuwa attached kwa amri ya mahakama leo. Tunaomba
mwenye kujua ukweli atuthibitishie hasa kilichojiri.
Arusha--kilishtakiwa na aliekuwa mwajiriwa wake aitwae Dr Makando na Makando ameshinda kesi
ambapo inatakiwa alipwe na AICC takribani 200 milioni. AICC inasemekana imekuwa ikisuasua
kumlipa. Matokeo yake Akanuti za AICC zimekuwa attached kwa amri ya mahakama leo. Tunaomba
mwenye kujua ukweli atuthibitishie hasa kilichojiri.