Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kweli Dodoma limetikisa hata mimi nimelisikia. Kama muogo unaweza kukimbia hovyo.
Kweli arusha limepita, mawazo yangu hayakuwa kwenye tetemeko kabisa nilipoona kitanda kinatikisika nikabaki na maswali hahaahaaaLimepita Arusha pia kama saa 12dk 7.....ingawaje dogo
Kivipi Mkuu, lilishapita mbonaPolen sana Mungu atawatetea Wotee
Kwani huo ni ugonjwa?Polen sana Mungu atawatetea Wotee
That is an earth tremor.
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
ni muda wa saa 12dk1 asubuhi hii ya leo j5 tetemeko limepita hapa dodoma mjini limetokea upanda kusini kuelekea kaskazini limechukua kama sekunde 37 sijajua kama kunasehemu yametokea madhara
lina ukubwa gani?(The Richter Scale)Limepita Arusha pia kama saa 12dk 7.....ingawaje dogo