Tested HIV positive, looking for a soul mate

Tested HIV positive, looking for a soul mate

Sio vizuri mkuu,muache tu mdau madhali hajaja kukuhoji hapo ulipo sidhani kama ni sahihi ku-judge alichokiandika hapa...unless uniambie kakushikia bakora kwamba usome bandiko lake na kukulazimisha ucomment,matatizo tumeumbiwa wanadamu ndugu yangu usim-beze mwenzako kesho yakakukuta na wewe ukakosa faraja...ni maoni tu mkuu.

Mkuu sijambeza mtu,ila usiamini sana vitu vya kimtandao.
 
Mkuu sijambeza mtu,ila usiamini sana vitu vya kimtandao.

"Hongera sana kwa research yako unayoifanya"

Bilashaka humtaki asiamini sana, ila unamtaka asiamini kabisa ndio maana uliibuka na comment hiyo niloinukuu.
 
Najaribu kujiweka kwenye viatu vyako, kwa kweli wewe ni jasiri. Kila kitu hutokea kwa makusudi maalum. Mungu aendelee kukuimarisha na akupatie haja ya moyo wako. Pole sn

Kama kila anayeathirika angekuwa na ujasiri wa hivi, ukimwi ungeisha siku nyingi. Wengine wetu hata tukijua tuna maambukizi kazi yetu kusambaza tu tena na wengine wanajisifia wameunganisha wangapi. Pave wewe ni mmoja kati ya wachache mno katika dunia yetu ya leo. Nakutakia kila la heri
 
Last edited by a moderator:
Kama kila anayeathirika angekuwa na ujasiri wa hivi, ukimwi ungeisha siku nyingi. Wengine wetu hata tukijua tuna maambukizi kazi yetu kusambaza tu tena na wengine wanajisifia wameunganisha wangapi. Pave wewe ni mmoja kati ya wachache mno katika dunia yetu ya leo. Nakutakia kila la heri

Amina mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pave majibu yako ni very technical kama naamini unafanya research but i give you a benefit of doubt Mungu akujalie haja ya moyo wako.
 
Mkuu sijambeza mtu,ila usiamini sana vitu vya kimtandao.

Sawa ktk mitandao sio vyote vya kuamini but baadhi inakubidi kama binadam unaeshi uamini na kama ukiwa na mda atleast toa comment itakayomfariji mtoa thread(japo hujaamini sana) sio kumkatisha mtu tamaa kama ulivyoanza pale mwanzo,na hii itaweza kumpunguzia mtu bahati coz yawezekana thread akaiona mtu ambaye yupo kama yeye na nimuhitaji kama yeye but kwa sababu umeshamvunja moyo kwa comment yako anaogopa kum-PM jamaa coz ataamini yupo ktk research kama ulivyosema kumbe sivyo,ndio tunasema timiza tu wajibu either kwakupita tu bila comment yoyote au angalao mfariji hata kwa kusema pole....amini usiamini mkuu kingkongII huyu anaweza kuwa labda ni ndugu yako au ni mtu wako wakaribu sana ila kajificha ktk Id hii then umefanya hivi halafu ikatokea siku ukamsikia anasema utajisikiajee?kuna mada za kutaniana sio kama hii!ubarikiwe.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Pave majibu yako ni very technical kama naamini unafanya research but i give you a benefit of doubt Mungu akujalie haja ya moyo wako.

Sifanyi research, ni ukweli mtupu na hivyo ndivyo nilivyo. Amina!
 
Kama hujaanza kutumia dawa, nitafute, I can help u for free, ukishapona unaweza amua unipe nini?? But it's secret na tiba inachukua mda mrefu sana.
 
Ilikuwa November 22, 2014 ndio vipimo vilionyesha hivyo. Has been a year now!
Nashukuru management ya jamiiforums kwa kuwa na mahali hapa ambapo pameniunganisha na watu mbalimbali hadi nimeonana na watatu. Mmoja kati ya hao watatu amekuwa kama ndugu kwangu. Nawashukuru wadau wote kwa support zenu mbalimbali kwa afya ya mwili na akili!
 
Usikate tamaa mm pia ni HIV+ niliwahi kuandika ktk ukurasa huu wa Jf ili kupata marafiki, kweli nimepata wenzangu na watu wengine wa kunipa ushirikiano, tuwasiliane kama hutojali
 
Waathirika wapo wengi wanaohitaji wenza wa maisha,kama upo serious nipe namba yako ya cm nikutext nikuunganishe rafik yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom