Ni mpya au?
Naona vumbi vumbi maeneo ya usukani....
Asante kwa kutujulisha kwamba umenunua gari.... hongera sana mkuu
Tuoneshe nje tujue imetoka Leo
Tuoneshe nje tujue imetoka Leo
Wakuu, nimetoa hii ndinga bandarini leo ni barabara ipi nzuri kuijaribu ili nijue hawa WaJerumani sio waongo?View attachment 715589
Volkswagen Golf gti,hongera kwa kununua kibaby walker. Halafu kuna mahali ulimponda mtu kwa kuendesha mark x ukasema ni ten year old car nkajua una velar ya 2017,hii yenyewe tu pia ni ten years oldWakuu, nimetoa hii ndinga bandarini leo ni barabara ipi nzuri kuijaribu ili nijue hawa WaJerumani sio waongo?View attachment 715589
Zile tuta za barabara ya Goba hapana kabisa.. Dsm nzima hakuna.Kwa milima midogo midogo test kupitia Goba Road. Mida ya wakubwa kuanzia kuanzia saa 4 ambapo hakuna jam za magari mengi.