Icadon
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 3,581
- 184
Wamefanikiwa kuwaondoa baadhi ya waliokwama hotelini. Waziri Mkuu wa India ameitisha kikao cha dharura cha baraza la mawaziri baada ya kikao, PM atalihutubia Taifa.
wat i don get is wameshow sijui top security official waindia naye ameuwawa kwa kupigwa risasi wakmshow aki arrive kwenye crime scene akavaa kofia tu without havin any bullet proof vests n aka proceed kusogelea eneo la tukio,5minutes later it was confirmed kapigwa risasi tena kifuani where de vest ilitakiwa iwepo
ma qn is ni kuwa hizo vest hamna india ama?maana nimeona tumeambiwa only cnn wandishi ndo waliokua nazo hence ndio waliruhusiwa kusogelea ndani,nw even wakubwa wa upelelezi nao hawana?
Big Up Pasco for ur update......kuwa makini huko.Hawa mujahideena ni waislamu?
wat i don get is wameshow sijui top security official waindia naye ameuwawa kwa kupigwa risasi wakmshow aki arrive kwenye crime scene akavaa kofia tu without havin any bullet proof vests n aka proceed kusogelea eneo la tukio,5minutes later it was confirmed kapigwa risasi tena kifuani where de vest ilitakiwa iwepo
ma qn is ni kuwa hizo vest hamna india ama?maana nimeona tumeambiwa only cnn wandishi ndo waliokua nazo hence ndio waliruhusiwa kusogelea ndani,nw even wakubwa wa upelelezi nao hawana?
Alikuwa head wa Anti Terrorism Squad.
Pasco, kuna mtanzania aliyefariki au kujeruhiwa katika tukio hilo?
Wahusika mliofikwa na maafa hayo poleni sana.Watanzania mliopo india vipi usalama wenu mana naona mahotel ndio yamelipuliwa sana na najua wabongo kwa kujirusha mumepona kweli huko?Mliokaribu na maeneo ya matukio endeleeni kutupa yaliyojirinimeona CNN sasa hivi kwamba kuna multiple attacks ya ma-terrorist india na wana target Americans
Gunmen strike at series of targets popular with tourists and business people
Seventy-eight reported killed, almost 200 injured
Ongoing gunbattles reported at two hotels
CNN-IBN reports hostages taken at two five-star hotels