Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Ngoja inyeshe tuone inapovuja...ndo nimejua kumbe jeshi nao ni miyeyusho sana wenzao wametekwa wameteswa lakin wamekaa kimya tu. Huyu komando mwingine wa Tabora, amefukuzwa kazi, mwaka sasa umepita hajapewa stahiki zake. Wakati ameondoka kwasababu ya ugonjwa. SHAME ON YOU!