LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,721
- 13,959
Halafu ukiangalia ni kikundi cha watu wachache sana walikuwa wana fanya huu unyama, ukitaja Arusha ni Kingai, Mahita, Msemwa,... Ukienda Moshi hao hao, ukienda Tabora wale wale, ukienda Mwanza. Wale wale. Kwanini iwe hivyo? Kwamba hakuna maaskari wengine? Hawa wanatakiwa wakamatwe waelezi walitumwa na nani kufanya huu uhuni. Sio Nolle tuuMgodi sawa ila itakua jambo la busara kutumia akili kuona athari iliyopo mbele yao wasipochukua hatua sahihi. Kuna madhara makubwa sana kwao na kwa serikali.