masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mkuu ni ile litu inaitwa wishful thinking, au pengine jamaa wanatafuta mwanya wa kupiga u- turn iliruzuku isiote mbawa.Katika thread post mbona hakuna sehemu inayoonyesha kuwa Tendwa kaiangukia CDM?