Mwamikili
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 417
- 137
Hakuna haja ya kutukanana, matusi hayo kila mmoja anayafahamu na ana uwezo wa kutukana. Mkuchika hajatengua maamuzi ya CDM bali ameweka "pending" kutambua maamuzi hayo ili kupisha maamuzi "Mama" ya mahakama. yeye "mkuchika" ndio kiongozi mkuu katika Tamisemi, mwenye dhamana ktk wizara hiyo.ndio maana walimpelekea maamuzi ili ayatambue.sasa kama kuna "hitilafu" hapo unategemea atafanya nini kama sio kusubiri ili hitilafu hiyo iondolewe? Hatutajenga kwa kutukanana japo unaona kuwa tu mbalimbali na hatuwezi kuonana, ila si desturi nzuri.
Zia upo wrong, mkuchika alipata nakala ya kuenguliwa madiwani, na chama ndio mdhamini hivyo at present sio wanachama wa chadema na hivyo basi sio madiwani, je wasingeenda mahakamani? kakurupuka asubiri mahakama iamue jamani mbona tunaupeo mdogo wa kufikiri? ndio maana tunaingia kwenye mikataba mibovu shauri ya kutothink!