Tendwa nahisi huyu mzee anazeeka vibaya....
Mikono imeishaanza kutetemeka..hawezi kuandika tena... (uzee)Halaf matamko meng yanasainiwa kwa niaba yake cjawah ona sain ya tendwa.
UJINGA UPO HAPA
A) Tendwa ameshindwa kufafanua nini maana pana ya neno "nguvu" na je utajilinda bila nguvu? na je kama ni vikundi kwa ajili ya kujilinda Chadema walitamka lini kuwa watatumia " nguvu" kujilinda na kuwalinda viongozi wa chama"
Naomba tendwa atoe ufaafaunizi mpana kama mwanasheria juu ya nini maana ya neno "nguvu" (Broader interpretation of the word " nguvu") na je nini tofauti kati ya "ukakamavu" na "nguvu"
SawasawaHaya ndiyo madhara ya kuwa na Msajili mwenye umri wa miaka 70 Ofisini.
Mkuu kwa kuwa msajiri kakili kuruhusu vyama kujilinda basi mimi naona kamaliza kila kitu, tukumbuke Mzee Tendwa ni Jaji kama sikosei sina shaka anajua fika anacho sema, reading between the lines anaonekana kuwekewa shinikizo la aina fulani vile - hata ukumwangalia anapotoa kauli tata unamuona kabisa hayuko comfortable. Labda niulize kitu: hivi Maskauti wanapo fundishwa ukakamavu upewa silaha? Dunia itatuelewa vipi wakiona picha za kikundi cha chama fulani kikiwa na vijana walioshikilia Silaha na hajulikani kama ni silaha kweli au matoyi alafu hapo hapo Wahusika wanasema vyama vingine havina haki/haviruhusiwi kuwa na kikundi kama chao kujilinda!! Tunapo kuwa na double standard nchini tunakuwa na malengo gani? Kwa nini usitolewe uhamuzi wa hama kuruhusu vyama vyote viwe na walinzi wao au kufutilia mbali vikundi vyote bila ya kujali chama. Hii inasikitisha sana, Taifa linaingizwa kwenye malumbano yasiyo na tija na akiangalia kwa umakini mambo mengi yanayo kuzwa hayana ukweli wowote wana tunga kwa madhumuni ya kuchanganya akili wananchi!! Nani Mtanzania mwenye akili timamu ambaye anaweza kuhunga mkono vyama au vikundi vyenye kuhashiria uvunjifu wa AMANI, na wala siamini kama kuna chama ambacho kinataka kuvunja amani kwa kuleta vurugu nchini ili kiweze kuhingia/kubaki madarakani - Watanzania wanawezaje kuvurugana wenyewe kwa wenyewe kugombea madaraka, huu si utamaduni wetu: Nionavyo mimi Vurugu sitatokana na Viongozi ambao hawatafakali mambo vizuri wanao waona Watanzania wenzao kama mahadui kila kitu wanacho kifanya wanakiona kina walakini - Watanzania wa leo sio mbumbumbu tena, kwa nini umuwahachii wananchi wakatafakali mambo on their own badala ya kupandikiza chuki kila kukicha si redioni si kwenye luninga si kwenye mitandao kutisha tisha Raia masaa yote.masikini babu wa watu..kama mtoto wa vidudu
Tendwa nahisi huyu mzee anazeeka vibaya....
Kwa nini asianze kuyachukulia hatua maCCM yanayotoa hadi vyeti vya kudhuru binadamu?
Tendwa ni katibu mwenezi wa CCM mi wala sishangai na maneno yake,