Haujamwelewa Tendwa maana yake, ngoja ni jaribu kuifafanua hii kauli kidogo, hawa jamaa ni hatari sana, akikwambia 20% pass basi ujue ni 40 or 60%. Kuna vitu wanakuwa wanavificha, ndo maana tunawaita binadamu hawa 'wakoloni weusi'.
Anachozungumzia Tendwa hapa ni kujaribu kuhalalisha uwepo wa green guard kwa sababu moja kuu. Whatever thing that will be done by green guard, kwa namna moja au nyingine watachakachua ili ukweli usijulikane, so hakuna atakaye kamatwa.
On the other side, anamaanisha kwamba red guard wakifanya kitu chochote, wao watashitakiwa, kwa sababu sheria haiwaruhusu. In the worst case, Tendwa anamaanisha kwamba CDM mkipigwa nyamazeni, kwani inauma?.
Hivi hawa wazee wa ccm kwa nini wanapenda kudhani kwamba watz ni watu wajinga sana? Kama shida ya kuwa na vikundi vya kujilinda ni kuripoti tu kwenye vyombo vya dola sasa kunahaja gani ya kuwanavyo? what is point? Si mtu tu yeyote anaweza kufanya hiyo kazi, kwani CDM si wanawapenzi wengi tu kwenye mikutano?
Swala la kujilinda ni pamoja na kuarrest, kutiapingu na hata ikiwezekana kujeruhi ikiwa mtuhumiwa anania ya kukudhuru. Hauwezi kuniambia mimi eti jambazi kanikosakosa shaba, alafu nikijicheck na shaba mfukoni, eti nisimdhuru hata kama nikipata mwanya kwa sababu its against the law. Kudadadadadadeki!!!!!
Hizi ndo sheria gani? Au ndo zile sheria kama za kisultani. Kule Saudi Arabia kunamwanamke alikwenda kushitaki kwamba amebakwa akakamatwa yeye na yule aliyembaka, kisa, wamefanya mapenzi nje ya ndoa, mwanamke amefungwa miezi kumi nasita mwanaume kumi na mbili. Mantiki iko wapi hapo?
Anachozungumzia Tendwa hapa ni kujaribu kuhalalisha uwepo wa green guard kwa sababu moja kuu. Whatever thing that will be done by green guard, kwa namna moja au nyingine watachakachua ili ukweli usijulikane, so hakuna atakaye kamatwa.
On the other side, anamaanisha kwamba red guard wakifanya kitu chochote, wao watashitakiwa, kwa sababu sheria haiwaruhusu. In the worst case, Tendwa anamaanisha kwamba CDM mkipigwa nyamazeni, kwani inauma?.
Hivi hawa wazee wa ccm kwa nini wanapenda kudhani kwamba watz ni watu wajinga sana? Kama shida ya kuwa na vikundi vya kujilinda ni kuripoti tu kwenye vyombo vya dola sasa kunahaja gani ya kuwanavyo? what is point? Si mtu tu yeyote anaweza kufanya hiyo kazi, kwani CDM si wanawapenzi wengi tu kwenye mikutano?
Swala la kujilinda ni pamoja na kuarrest, kutiapingu na hata ikiwezekana kujeruhi ikiwa mtuhumiwa anania ya kukudhuru. Hauwezi kuniambia mimi eti jambazi kanikosakosa shaba, alafu nikijicheck na shaba mfukoni, eti nisimdhuru hata kama nikipata mwanya kwa sababu its against the law. Kudadadadadadeki!!!!!
Hizi ndo sheria gani? Au ndo zile sheria kama za kisultani. Kule Saudi Arabia kunamwanamke alikwenda kushitaki kwamba amebakwa akakamatwa yeye na yule aliyembaka, kisa, wamefanya mapenzi nje ya ndoa, mwanamke amefungwa miezi kumi nasita mwanaume kumi na mbili. Mantiki iko wapi hapo?