rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wakuu nina kajumba kadogo jijini DSM,nimechoka na matope ya mvua nataka solution ya 1)Matope 2)Kufanya nje(ndani ya fence) paonekane na mvuto,I don't care hata kama ni wanafunzi wakajifunzia hapo ili mradi bei iwe ya kiubinadamu-sihitaji vyeti wala ofc.
Asanteni.
Asanteni.