tendawili..??...tendawili..??

Hili DUBU la kizungu, halijui kiswahili. Wewe iko sema tendawili eeeh. Hapana sema KITENDAWILI.
 
Ha ha ha, umenichekesha
umenikumbusha simba wa maonesho
wanakula mikate
jioni wanabeba pochi na kutembea kwa miguu miwili kurudi kwao

Hili DUBU la kizungu, halijui kiswahili. Wewe iko sema tendawili eeeh. Hapana sema KITENDAWILI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom