Tenda ya Bomba la gesi ya Mtwara
1. Ilitangazwa lini
2. Consultant alikuwa nani?
3. Estimates zake zinasemaje?
4. Tenda ilitangazwa na idara zipi za
serikali?
5. Kampuni ngapi ziliomba hiyo
tenda?
6. Majina ya hizo kampuni
zilizoomba yako wapi?
7. Evaluation team ya hiyo tender
ilihusisha akina nani?
8. Pre qualification stage zilipita
kampuni ngapi?
9. Zilizoshindwa zilitolewa kwa
vigezo vipi?
10. Technical specs za huu mradi ni
zipi?
11. Financial specs za huu mradi
mbona siri kubwa?
12. Je kampuni ngapi za wana
Mtwara zilihusishwa hata kwenye
sub contracting?
13. Je, Mtwara Development Agency
WALIHUSISHWAJE KWENYE HUU
MPANGO?
14. Hizi TUHUMA za watu kula pesa
China ni kweli?
Ngoja nikupe hii
story! mtoto wa mkulu alikamatwa na madawa ya kulevya huko china!
ilikuwa anyongwe ila mkulu akaomba sana kuwa wasimnyonge ila atawapa
hiyo kazi ya gesi!!!! kwahiyo hiyo ndio sababu!!!1
fanya utafiti uje na majibu. Sasa hapa unamuuliza nani?
1. Ilitangazwa lini
2. Consultant alikuwa nani?
3. Estimates zake zinasemaje?
4. Tenda ilitangazwa na idara zipi za serikali?
5. Kampuni ngapi ziliomba hiyo tenda?
6. Majina ha hizo kampuni zilizoomba yako wapi?
7. Evaluation team ya hiyo tender ilihusisha akina nani?
8. Pre qualification stage zilipita kampuni ngapi?
9. Zilizoshindwa zilitolea kwa vigezo vipi?
10. Technical specs za huu mradi ni zipi?
11. Financial specs za huu mradi mbona siri kubwa?
12. Je kampuni ngapi za wana Mtwara zilihusishwa hata kwenye sub contracting?
13. Je, Mtwara Development Agency WALIHUSISHWAJE KWENYE HUU MPANGO?
14. Hizi TUHUMA za watu kula pesa China ni kweli?
kwa nini waandishi wetu hawaulizi haya maswali kwa wahusika?
fanya utafiti uje na majibu. Sasa hapa unamuuliza nani?
Rais kashasema sakata la gesi LIMEKWISHA...wacha bana, wanaojua watasema, please relax ze marcopolo
Rais kashasema sakata la gesi LIMEKWISHA...
Kwa ufupi kama mnakumbuka ilikuwa tugawane na mwekezaji 50% to 50% cha ajabu baada ya mtoto wa mfalme kukamatwa condition zimebadilika ni Wadanganyika tutapata 20% na mchina anapata 80% na ndivyo Jk alivyosainishana kumwokoa Prince