Tenda ya Bomba la gesi ya Mtwara

Tenda ya Bomba la gesi ya Mtwara

sheria ya manunuzi inakubali aliyefanya feasiility study ndio huyo huyo anayepewa tenda ya kazi?

je PPA ya 2004 inasemaje kuhusu hili?
 
tunaendelea kufufua makaburi...
 
tunaendelea kufufua makaburi...

Naiona hasira iliyoko ndani yako, kimsingi huko pekeyako tutaichara bakora mifupa yao tukishaitoa makaburini, muda utaongea
 
Chabruma apitie na huku maana akili za kuku zimewajaa sana CCM
 
Last edited by a moderator:
Naomba kutumia model ya ile Tenda ya Bandari

1. Ilitangazwa lini-Hikutangazwa

2. Consultant alikuwa nani?-CCCC

3. Estimates zake zinasemaje? zilianza Dola milioni 360 cha juu cha nanii na nanii ikafika 460-560 hadi 660

4. Tenda ilitangazwa na idara zipi za serikali?-Haikutangazwa

5. Kampuni ngapi ziliomba hiyo tenda?-moja CCCC

6. Majina ha hizo kampuni zilizoomba yako wapi?-CCCC

7. Evaluation team ya hiyo tender ilihusisha akina nani? -Wataalamu walipekwa China na CCCC

8. Pre qualification stage zilipita kampuni ngapi?-1 CCCC

9. Zilizoshindwa zilitolea kwa vigezo vipi? Hazikuwepo

10 .Technical specs za huu mradi ni zipi?-ziliandaliwa na CCCC

11. Financial specs za huu mradi mbona siri kubwa?-Ziliandaliwa na CCCC

12. Je kampuni ngapi za wana Mtwara zilihusishwa hata kwenye sub contracting?

13. jE mtwara development agency WALIHUSISHWAJE KWENYE HUU MPANGO?

14. hIZI TUHUMA ZA WATU KULA PESA cHINA NI KWELI? - ni uwongo!.

Hili la bandari CCCC ndio waliofanya feasibility study kwa ghara yao wenyewe!
CCCC wakatafuta funder Exim Bank
CCCC wakawa ndio wajenzi
CCCC wakaomba goverment guarantee wakapata!.
CCCC ndio wangerun mpaka utakapolipwa!.

Waziri Nundu akasmell a fish, akasimamisha kila kitu, wakamruka waziri, wakamtumia naibu waziri, government guarantee ikatoka bila kuombwa na waziri husika!. Waziri Nundu akamwaga ugali, JK akawatema wote, Mwakiembe ndie akamalizia kusafisha bandari.

Sasa ni zamu ya TPDC.
Pasco.
Twaha "General" Ulimwengu & JP Kasiga (2nd R) na Machel kambi ya FRELIMO, Nachingwea-wanajeshi wa kusaidia ukombozi.

B8diRxDIcAEP4GW.jpg
 
Utasubiri hii kitu hata kwa miaka 100 hutaambulia chochote. Mafisadi wameshasema details za mikataba ya Serikali kuhusiana na rasilimali mbali mbali nchini ni siri kubwa.
Eti leo hii mtu anasema Watanzania nani aliwaroga huku wanafanya mambo ya kulitia Taifa hasara kwa siri.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom